Nsoji go Nvaa
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 760
- 1,444
Wimbi la wanafunzi kufa maji wakiogelea mkoan dodoma linazidi kushika kasi ambapo Jana jioni mwanafunzi mmoja wa ilboru kidato cha 5 aitwae Francis amefariki akiwa anaogelea katika hotel maarufu ya St Gasper iliyopo dodoma baada ya kunywa maji mengi na kusababisha kifo chake.
Mwanafunzi huyo alikimbizwa hospitali ya Nesuda lakini hadi anafikishwa pale alikuwa keshafariki njiani.
Itakumbukwa ni wiki hii tu mwanafunzi mwingine alifariki katika swimming pool ya Morena hotel ambapo alikutwa na dreva aliyekua amewapeleka maharusi kupiga picha huyo dreva alimuona mtoto anahangaika juu ya maji ndipo akajitosa na suti zake ndani ya maji kumuokoa bahati mbaya akafariki akikimbizwa general hospital Wakati tukio linatokea mama wa mtoto alikua amekaa akipata kinywaji hakujua mtoto kaingia swimming,
Tunaomba wenye hizo swimming waweke guide wa kuwacontrol watoto
Mwanafunzi huyo alikimbizwa hospitali ya Nesuda lakini hadi anafikishwa pale alikuwa keshafariki njiani.
Itakumbukwa ni wiki hii tu mwanafunzi mwingine alifariki katika swimming pool ya Morena hotel ambapo alikutwa na dreva aliyekua amewapeleka maharusi kupiga picha huyo dreva alimuona mtoto anahangaika juu ya maji ndipo akajitosa na suti zake ndani ya maji kumuokoa bahati mbaya akafariki akikimbizwa general hospital Wakati tukio linatokea mama wa mtoto alikua amekaa akipata kinywaji hakujua mtoto kaingia swimming,
Tunaomba wenye hizo swimming waweke guide wa kuwacontrol watoto