Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Wakuu,
Kuna habari kuwa mwanafunzi Mtanzania kakutwa amefariki Bangalore India.Habari zinasema huyo kijana kakutwa amechinjwa na polisi wanaendelea na uchunguzi.
Kwa jina anatambulika kwa jina Imran.Tafadhali kama kuna mtu anweza kuwapata watu wa ubalozi watamwaga data kamili.pia naskia polisi wanataka kuleta uzushi flani ktk investigation..so juhudi zinahitajika kutoka ubalozini ili mambo ya uchunguzi yafanyike kwa makini.Pia nikipata news zaidi nitawajulisha
Kuna habari kuwa mwanafunzi Mtanzania kakutwa amefariki Bangalore India.Habari zinasema huyo kijana kakutwa amechinjwa na polisi wanaendelea na uchunguzi.
Kwa jina anatambulika kwa jina Imran.Tafadhali kama kuna mtu anweza kuwapata watu wa ubalozi watamwaga data kamili.pia naskia polisi wanataka kuleta uzushi flani ktk investigation..so juhudi zinahitajika kutoka ubalozini ili mambo ya uchunguzi yafanyike kwa makini.Pia nikipata news zaidi nitawajulisha