Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Mkuu hapa umeendeshwa na hisia zako binafi zaidi kuliko uhalisia wa jambo tunalolizungumzia hapa, acha chuki binafsi na ujifunze kuwa mkweli! Samahani iwapo utakwazika kwa huu ukweli niliokuambia.
acha jazba pia usinilazimishe niseme unayoyataka wewe.