Mwanafunzi Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) atengeneza mtandao wa kijamii

forget password?????its like he is telling me to forget my password,no i wont.....it should be.....forgot your password?

haiwezi kuwa kama facebook iwapo sisi hatutajiunga....facebook imefika ilipo baada ya watu kujiunga...so kama kweli tunataka mafanikio ya kwetu tujiunge kwanza sisi watanzania wenyewe....mimi najiunga sasa hivi....sikuwahi kuwa na tweeter or facebook account......
 
nakutana na kitu kama hiki wadau

attachment.php
 

Attachments

  • untitled.JPG
    untitled.JPG
    18.5 KB · Views: 951
Samahani kama taonekana pessimistic..Hio network yake ina watu wangapi ?Sababu kutengeneza platform is one thing.., na ku-market, kupata watu kujiunga na kustick na forum yako is a totally different ball game.., ndio maana hata kina MySpace ingawa walikuja before Facebook lakini we know what happened..Pia kuna forums nyingi zenye format na engine kama ya JF lakini nyingi zina visitors wawili baada ya miaka mitatu..Kwahio kwenye Social Networks what really matters is the Network (people interactions) more than anything
si ndo kwanza anaanza jamani we ulitaka mtoto azaliwe leo aanze kukimbizana na watu wazima au? Toa pongezi sikilizia uelekeo wake umeshindwa kaa kimya.
 
Hongera zake huyo kijana ila nataka niwaambie kitu upande wa informatics yaani kitivo cha mambo ya computer pale Udom kuna vijana wanajitahidi sana hata huku maofisini tumeona kazi yao.
 
si ndo kwanza anaanza jamani we ulitaka mtoto azaliwe leo aanze kukimbizana na watu wazima au? Toa pongezi sikilizia uelekeo wake umeshindwa kaa kimya.

Kama ni kupongezana na kupeana tano na sifa nadhani basi ni bora angetumia ndugu na jamaa zake kwenye email.., hapa ni constructive criticism ambazo zitajenga zaidi.., ndio maana nikasema kwenye IT na Computer Literacy nampa heko, ila kwenye Social Network (as a model) baada ya marketing na promotion ya nguvu ndio hapo tutaongea zaidi.., ndio maana swali langu la kwanza likawa ..., kuna members wangapi ameshapata ? Kumbuka hapa tupo kwenye Jukwaa la Gadgets na Tech na sio Mahusiano wala Urafiki.., tunaangalia product na sio a person behind the product.., na kutoweka uzalendo mbele (biasness) nadhani product itakuwa nzuri zaidi...

Na kama huenda angetaka ikae Ki-Tanzania zaidi basi hata rangi, lugha na mandhari zingeonyesha uhalisia wa kitanzani, ila since ni kitu global basi tuilinganisha na the best of the best globally kama tunataka iwe hata average..

Tusipende kuwa mediocre
 
yeap, pia hiyo site haina 404 error Page, actually ni script inayoitwa mayoco: manage your content - mayoco | Introduction na hako kafaili kanaload kutoka kwenye page ya chat ambapo nimegundua kuna user ana id ina jina kama la hako ka file

Weak indeed, no different from - and probably less secure than- my Geocities webring in 1999. But it's UDOM, what do you expect?
 
nime-join ::::it loads very slowly,:::::ushauri wangu kwa Mayocoo team---watafute server kubwa kwa ajili ya kuhost website hii...pia kuna some spelling errors,mfano kwenye settings->deactivate->kuna sehemu inasema "underconstraction" ..... pia,kuna links kibao hazifanyi kazi(mfano,developers,privacy policy,na terms of service)..arekebishe...namtakia kila la kheri...ila ingekuwa vyema tukifahamu maana halisi ya neno "mayocoo"..its good to know the meaning,,,,,,,Kila la heri...Mungu abariki kazi yake.

Lion King mkuu
 
Weak indeed, no different from - and probably less secure than- my Geocities webring in 1999. But it's UDOM, what do you expect?

usiku tu pekee nimepata details za kutosha kuipeleka chini, ila nimeona haitakuwa vyema vijana developers wa udom wanaonesha makeke yao. nimeona mianya kadhaa ila nitakuwa nawaangalia kama watarectify matatizo yao
 
Back
Top Bottom