Mwanafunzi bora Kilimanjaro kutoka Majengo Sekondari

mwanamabadiliko

JF-Expert Member
Oct 30, 2010
842
1,363
Hongera kwa mwanafunzi Haika Dismass massawe kutoka shule ya Majengo secondary, kwa kuwa mwanafunzi bora kwa mkoa wa kilimanjaro. Amepata matokeo ya Div 1 point 5, Huku akiwa na A ya hesabu. NI wanawake wachache sana mwaka huu walioweza kufikisha angalau div one ya point 9. Alikuwa mwanafunzi wa EGM. Hivi ndo vichwa tunavoitaji, Mhasibu wa BOT wa baadae, Hongera sana
IMG-20160715-WA0040.jpg IMG-20160715-WA0040.jpg IMG-20160715-WA0040.jpg IMG-20160715-WA0040.jpg IMG-20160715-WA0040.jpg
 
Hongera kwa mwanafunzi Haika Dismass massawe kutoka shule ya Majengo secondary, kwa kuwa mwanafunzi bora kwa mkoa wa kilimanjaro. Amepata matokeo ya Div 1 point 5, Huku akiwa na A ya hesabu. NI wanawake wachache sana mwaka huu walioweza kufikisha angalau div one ya point 9. Alikuwa mwanafunzi wa EGM. Hivi ndo vichwa tunavoitaji, Mhasibu wa BOT wa baadae, Hongera sana
View attachment 366691 View attachment 366691 View attachment 366691 View attachment 366691 View attachment 366691

Hongera kwake. Serikali impeleke ulaya
 
Hongera Haika. Hongera za dhati zimfikie pia my little cousin brother, classmate wa Haika, ambaye naye amepata division two pamoja na kutokea shule ya kata kule mndeni kwa bibi yetu.
Wewe hii siyo Facebook!!!!
Ebo!!!
 
Pita zako kule...sina haja ya kufundishwa na wewe matumizi ya JF...or any other Social Media for that matter.
Narudia tena hii siyo Facebook kuanza kututajia mabinamu zako, sijui baba wadogo zako!!!?
Thibitisha utambulisho wako upate uhalali wa kuwataja wanakijiji wenzio.
 
Hongera kwa mwanafunzi Haika Dismass massawe kutoka shule ya Majengo secondary, kwa kuwa mwanafunzi bora kwa mkoa wa kilimanjaro. Amepata matokeo ya Div 1 point 5, Huku akiwa na A ya hesabu. NI wanawake wachache sana mwaka huu walioweza kufikisha angalau div one ya point 9. Alikuwa mwanafunzi wa EGM. Hivi ndo vichwa tunavoitaji, Mhasibu wa BOT wa baadae, Hongera sana
View attachment 366691 View attachment 366691 View attachment 366691 View attachment 366691 View attachment 366691
Hongera yake
 
Hivi kwa nn vichwa hivi hatuvioni vyuoni...
wakfika huku ni vilaza hatariii...
 
Narudia tena hii siyo Facebook kuanza kututajia mabinamu zako, sijui baba wadogo zako!!!?
Thibitisha utambulisho wako upate uhalali wa kuwataja wanakijiji wenzio.

Yeah, well, that's just , like,
your opinion man...
 
Back
Top Bottom