Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 31,520
- 65,190
Oh jamani!Kama namuona jamaa alivyopata mshtuko na uchungu mkali!huyu dada nakumbuka alikuwa very beautiful na alishakuwa kwenye mahesabu ya wengi enzi hizo block C.
alikuwa mpole, mrefu aliyeumbika na haiba fulani ya kimama sio kimchepuko.
kuna jamaa yangu alikuwa amedhamiria akimpata anaoa.
tulisikitika sana kuambiwa X wake kamchoma kisu na bahati mbaya post mortem ilifanyika jamaa yangu akiwepo kwani alikuwa muhas enzi hizo. jamaa bila kujua kwenye pindi lao anakutana na mwili wa mdada