Mabibo Hostel: Mwanafunzi UDSM amuua mwenzake kwa wivu wa mapenzi

Poleni sana ndugu jamaa na wazazi.......jamani haya mapenzi mngeyapa muda wake....pale muwe mnasoma mmalize mkatafute kazi hapo ndipo muanze hayo mapenzi.....kwa hakika 95% wale wanaojifanya boy friend na girl friend huwa yanaisha baada ya shule asikudanganye mtu....mkitoka uraiani life linakupasua binti anaonwa na vijana waliotayari kimaisha anakusahau wewe ulietoka nae college maana hata nauli tu inakuwa shida.....mara nyingi tunaona hapa hakuna kitu kama hicho....sasa kama ndio hivyo....kwa nini unamkatishia uhai wake jamani???mbaya sana sana......poleni ndugu...huyo kijana atajua jela ni nini......
 
Una waonea watoto. Mapenzi ya kitoto siyo hivi. Mapenzi ya kitoto labda kudanganyana kwa chipsi na kuambiana mapenzi yatakua siri yenu lakini this is beyond utoto. Najua maybe ulikua na nia nzuri bt ku characterize kitendo hiki kama utoto is letting the guy go off easy & giving him an excuse he doesn't deserve. Haya ni mapenzi ya kikatili plain & simple.
mapenzi ya kitoto tu hayo, hii ni kwa mtazamo wangu mm kama Pretty.
 
mapenzi ya kitoto tu hayo, hii ni kwa mtazamo wangu mm kama Pretty.

Sawa bwana ni kweli. Maneno yako nane ya mwisho yame vunja mjadala mzima. Kama kwako kuua mtu ni dalili ya utoto basi una haki ya kushikilia uaminicho.
 
Last edited:
Sawa bwana ni kweli. Maneno yako nane ya mwisho yame vunja mjadala mzima. Kama kwako kuua mtu ni dalili ya utoto basi una haki ya kushikilia uaminicho.
lol mwanafa1 nimekukubali......juzi nilikukuta nikalala nikakuacha jana hivyo hivyo leo tena....
 
lol mwanafa1 nimekukubali......juzi nilikukuta nikalala nikakuacha jana hivyo hivyo leo tena....

''Goal for 2010:Marriage''

Umeshapata mchumba? be careful bwana mdogo una miezi 7 tu, tuanze kutoa michango yetu. Ila usivamie mali za watu!

Nakuombea
 
lol mwanafa1 nimekukubali......juzi nilikukuta nikalala nikakuacha jana hivyo hivyo leo tena....

Umemkuta wapi? Au ukiona kitufe kinamulika kijani online we wadhani jamaa yuko online tu..aaargghh
 
kweli kabisa! Yule Mkurya alikosa simile kwani baada ya kuchukulia kuachwa kuwa ni jambo la kawaida, yeye aliingiwa na aina ya inferiority complex mbele ya mtoto aliyempenda na leo hamtaki kachukua jamaa lingine. Mkurya alijiona mnyonge sana, duni, asiyemfikia tena mtoto wake ambaye bado anaendelea kudunda kwa furaha na vicheko akiwa jamaa lingine. Hasira ya unyonge na uduni ikampanda. Angweza kujinyonga kimsingi, lakini akili ikamtuma aende akamtende vibaya mpenzi wake ili wanaume wote wamkose! Akili ya ajabu. Kumbe si kwamba hakujua kuna warembo tele wanaoendelea kuzaliwa. Shida ni kwamba hakutaka kuondoa akili na "macho" yake kwa huyo aliyemwacha.

Naona watu wengi wamependa kuhusisha tukio na ukabila, kana kwamba kuna uhusiano na kati ya kupenda-kabila-kuua-kuvuta bangi-kunywa pombe-kuvuta sigara. This shows how far baadhi yetu tunavyoshindwa ku-analyse ishu inapokuja mbele yetu na kuishia conclusions ambazo zipo msiplaced.

Naomba waungwana tusipende kuingiza mambo ya jumla jumla kwa sababu ni kuwakosea watu heshima bila sababu.
 
Naona watu wengi wamependa kuhusisha tukio na ukabila, kana kwamba kuna uhusiano na kati ya kupenda-kabila-kuua-kuvuta bangi-kunywa pombe-kuvuta sigara. This shows how far baadhi yetu tunavyoshindwa ku-analyse ishu inapokuja mbele yetu na kuishia conclusions ambazo zipo msiplaced.

Naomba waungwana tusipende kuingiza mambo ya jumla jumla kwa sababu ni kuwakosea watu heshima bila sababu.
Watu wa maeneo fulani wana tabia hiyo. Are you happy now kwamba sijataja kabila? Are you ni denial?!

Ikiwa wewe ni maeneo hayo, ni vyema ukawa mstari wa mbele kukemea au kuelimisha. Ipo tabia nyingine pia ya watu kujinyonga au kujitoa mhanga wanapokabiliwa na ugumu fulani kwenye maisha. Hawa nao ni watu wa maeneo fulani!

Nitaendelea kuwa na msimamo huu hasa kutokana na baadhi ya watu kuona kwamba hii ni sifa au ujasiri. Kama ambavyo imeelezwa na member mwenzetu kwenye hii thread - "mwanaume gani wewe unamshikia mwanamke kisu". Ukikabiliana na mwanaume mwenzio itakuwaje?
 
I do not mean to sound cynical but betrayal from a loved one especially a spouse can lead a man to doing drastic things. Kwa wale waliosalitiwa na wapenzi wao nadhani mnanielewa...sisemi ni sawa..lakini nadhani naelewa...kisheria kuna kosa liitwalo crime of passion endapo mtuhumiwa alifanya uamuzi wa kumuua mwenzake kutokana na kumfumania ana kwa ana...am not a lawyer ila huo ndio mchango wangu...inasikitisha sana...Watanzania tunahitaji kuwa na utamaduni wa kuwa waaminifu kwenye mahusiano....huu utandawazi unatupotosha mapema mno katika maisha yetu kama vijana...infidelity is considered a norm in Bongo...wadau nikosoeni kama nimekosea...ila najua mmenielewa.
 
I do not mean to sound cynical but betrayal from a loved one especially a spouse can lead a man to doing drastic things. Kwa wale waliosalitiwa na wapenzi wao nadhani mnanielewa...sisemi ni sawa..lakini nadhani naelewa...kisheria kuna kosa liitwalo crime of passion endapo mtuhumiwa alifanya uamuzi wa kumuua mwenzake kutokana na kumfumania ana kwa ana...am not a lawyer ila huo ndio mchango wangu...inasikitisha sana...Watanzania tunahitaji kuwa na utamaduni wa kuwa waaminifu kwenye mahusiano....huu utandawazi unatupotosha mapema mno katika maisha yetu kama vijana...infidelity is considered a norm in Bongo...wadau nikosoeni kama nimekosea...ila najua mmenielewa.
Swala hili tungelichukulia tofauti ikiwa lingefanana na hapo nilipoweka nyekundu.


Premeditated murder is the crime of wrongfully causing the death of another human being (also known as murder) after rationally considering the timing or method of doing so, in order to either increase the likelihood of success, or to evade detection or apprehension.[1] State laws in the United States vary as to definitions of "premeditation." In some states, premeditation may be construed as taking place mere seconds before the murder. Premeditated murder is usually defined as one of the most serious forms of homicide, and is punished more severely than manslaughter or other types of murder - usually with the death penalty or a life sentence without the possibility of parole.
"Premeditated murder" was first brought into use in the 1963 trial of Mark Richardson, in which he was found guilty of murdering his wife Cindy Cleave. Richardson had plotted his wife's murder for three years from the time that they were married. He was found guilty of premeditated murder and sentenced to life in prison.
In the U.S, there is no Federal offense of premeditated murder.
 
Watu wa maeneo fulani wana tabia hiyo. Are you happy now kwamba sijataja kabila? Are you ni denial?!

Ikiwa wewe ni maeneo hayo, ni vyema ukawa mstari wa mbele kukemea au kuelimisha. Ipo tabia nyingine pia ya watu kujinyonga au kujitoa mhanga wanapokabiliwa na ugumu fulani kwenye maisha. Hawa nao ni watu wa maeneo fulani!

Nitaendelea kuwa na msimamo huu hasa kutokana na baadhi ya watu kuona kwamba hii ni sifa au ujasiri. Kama ambavyo imeelezwa na member mwenzetu kwenye hii thread - "mwanaume gani wewe unamshikia mwanamke kisu". Ukikabiliana na mwanaume mwenzio itakuwaje?

Mazee kuhusisha tukio na kabila ni very skeptical. Mimi siishi ktk denial (at least ktk ishu hizi) na wala sitokei bara mazee. Hata hao wanauhusisha tukio na kabila kuna uwezekano mkubwa wamechemsha big time kwa sababu kuna wadau wameeleza hapo juu kuwa jina la muuaji si la asili ya wakurya bali wajita..unaona sasa izi assumptions zisizo na kichwa wala miguu zinapofeli kwa simplest of logical test?

Kunapotokea ishu ni vizuri kuangalia ktk larger piktcha na ku-assess bila hisia. Huyo kijana kwa wasifu imeonesha alikuwa na mazoea ya kuget high, na kama ana katabia ka kuwehuka ukiongezea na bangi nadhani hali inakuwa kama ilivyokuwa.

Tufikirie beyond box mazee.
 
Anayedhamiria kuua au kujeruhi hufanya hivyo kabla ya kuvuta bangi. Bangi hutumika kama kichocheo na si kwamba dhamira ilijitokeza kwa mara ya kwanza baada ya kulewa bangi. Ulevi hapa sio kisingizio hata kidogo kama ilivyo kwenye uzembe wa kuendesha ukiwa umelewa. I stand to be corrected.

Halafu, wapi mimi nimetaja kabila? Zipo tabia unazoweza kuzihusisha na watu wa maeneo fulani. Hata hivyo, hii haina maana ya kuwahusisha watu wote wa maeneo husika. Generalization sio jambo zuri, hata hivyo ni vibaya kupindisha maneno kwa kuhofia kuudhi watu wa makabila fulani.
 
wanafunzu someni, mAISHA SIO KAMA MNAVYOYAONA, SASA hujaoa unamuua, je angekuwa mkeo? huyo jamaa anastahili sura yake ionyeshwe hadharani, why haonyeshwi sura? ni aibu kwa taifa.
 
Anayedhamiria kuua au kujeruhi hufanya hivyo kabla ya kuvuta bangi. Bangi hutumika kama kichocheo na si kwamba dhamira ilijitokeza kwa mara ya kwanza baada ya kulewa bangi. Ulevi hapa sio kisingizio hata kidogo kama ilivyo kwenye uzembe wa kuendesha ukiwa umelewa. I stand to be corrected.
Mimi na wewe hatujui nini kilitangulia mazee.Kuvuta bangi au kudhamiria kuua. Kupuliza mfululizo samtaims inamfanya mtu kuwa ktk ecstacy flani hivi full time ana swing na ku-swagg ivi dizaini kila kitu anakuwa anatake easy..inategemea taathira imefikia wapi. Hata kama alidhamiria kuua huwezi ukahusisha ishu na kabila au maeneo anayotoka mtu. Kuna statistics zozote kwamba twaweza chora graph ya kabila la kila muuaji tukaona nani zaidi? Halafu na sisi tuliochanganya makabila tuwekwe wapi mazee? Acheni hizo zenu za kuleta..

Halafu, wapi mimi nimetaja kabila? Zipo tabia unazoweza kuzihusisha na watu wa maeneo fulani. Hata hivyo, hii haina maana ya kuwahusisha watu wote wa maeneo husika. Generalization sio jambo zuri, hata hivyo ni vibaya kupindisha maneno kwa kuhofia kuudhi watu wa makabila fulani.

Hujataja kabila ..umetaja maeneo..so whats difference does it make mazee? Halafu umesema nisiishi kwenye denial wakati nilipopinga kuhusisha tukio na kabila, meaning unaona correlation baina ya kabila na tukio. So where exactly are you standing on this mazee? Maana unanchanganya..sikuelewi.
 
Hujataja kabila ..umetaja maeneo..so whats difference does it make mazee? Halafu umesema nisiishi kwenye denial wakati nilipopinga kuhusisha tukio na kabila, meaning unaona correlation baina ya kabila na tukio. So where exactly are you standing on this mazee? Maana unanchanganya..sikuelewi.
Kuna Wameru wenye munkari zinazoshabihiana na tabia ya Wamasai walio wengi. Hawa unaweza kukuta wamekulia eneo moja kwa muda mrefu wakichangamana na Wamasai (mfano, sehemu fulani Arusha). Kundi hilo (Wamasai, Wameru, Wachaga) sio ajabu kuwa na tabia tofauti na Wamasai waishio Morogoro.
 
Mimi na wewe hatujui nini kilitangulia mazee.Kuvuta bangi au kudhamiria kuua. Kupuliza mfululizo samtaims inamfanya mtu kuwa ktk ecstacy flani hivi full time ana swing na ku-swagg ivi dizaini kila kitu anakuwa anatake easy..inategemea taathira imefikia wapi. Hata kama alidhamiria kuua huwezi ukahusisha ishu na kabila au maeneo anayotoka mtu. Kuna statistics zozote kwamba twaweza chora graph ya kabila la kila muuaji tukaona nani zaidi? Halafu na sisi tuliochanganya makabila tuwekwe wapi mazee? Acheni hizo zenu za kuleta..
huna hoja wewe......unapotosha watu.....
 
Kuna Wameru wenye munkari zinazoshabihiana na tabia ya Wamasai walio wengi. Hawa unaweza kukuta wamekulia eneo moja kwa muda mrefu wakichangamana na Wamasai (mfano, sehemu fulani Arusha). Kundi hilo (Wamasai, Wameru, Wachaga) sio ajabu kuwa na tabia tofauti na Wamasai waishio Morogoro.

Naona unapanua case study, samples na more assumptions..Ukamaliza mazee nipatie takwimu tu..sihitaji vingine..lol
 
Mazee ni aje tena..upo high au low?
tatizo lenu kila kitu mnasingia bangi.......bangi jamani haitumi kuua hata siku moja......yule dogo si mvuta bangi ni mjinga fulani tu anae dhania akikosa demu basi hakuna maisha....
 
Back
Top Bottom