Inadhihirisha kama kweli WAKURYA ni HASIRA TUPUUUU....
Ila naamin hasira yake imemponza...na kwa sasa anajuta huku mahabusu aliko..
TUJITAHIDI KUTAWALA HASIRA ZETU JAMAN. HAPA DUNIAN NI MAPITO TU..TUVUMILIANE, NA HATIMAYE WOTE TUFIKE MBINGULI KUTOKANA NA IMANI ZETU TULIZO NAZO.
Inadhihirisha kama kweli WAKURYA ni HASIRA TUPUUUU....
Ila naamin hasira yake imemponza...na kwa sasa anajuta huku mahabusu aliko..
TUJITAHIDI KUTAWALA HASIRA ZETU JAMAN. HAPA DUNIAN NI MAPITO TU..TUVUMILIANE, NA HATIMAYE WOTE TUFIKE MBINGUNI KUTOKANA NA IMANI ZETU TULIZO NAZO.
Inadhihirisha kama kweli WAKURYA ni HASIRA TUPUUUU....
Ila naamin hasira yake imemponza...na kwa sasa anajuta huku mahabusu aliko..
TUJITAHIDI KUTAWALA HASIRA ZETU JAMAN. HAPA DUNIAN NI MAPITO TU..TUVUMILIANE, NA HATIMAYE WOTE TUFIKE MBINGUNI KUTOKANA NA IMANI ZETU TULIZO NAZO.
Haya ni mapenzi ya kitoto. Ya nn hadi kumuua mwenzio kwa ajili ya mapenzi? Kwani wanawake wameisha hadi unaamua kuua. Sasa kakosa vyote chuo kakosa, jail ndio hiyo inamuita.
Haya ni mapenzi ya kitoto. Ya nn hadi kumuua mwenzio kwa ajili ya mapenzi? Kwani wanawake wameisha hadi unaamua kuua. Sasa kakosa vyote chuo kakosa, jail ndio hiyo inamuita.
" IF I CANT HAVE YOU..NOBODYELSE SHOULD" mentality
Kufuatana na Mkuu wa Chuo Professor Mukandala, hili ni tukio la kwanza toka chuo hicho kianze more than 40 years ago.Hii inatupa mafundisho yafuatayo:
1. Mahusiano kwenye vyuo - watu wawe waangalifu sana wanapoanza au kumaliza mahusiano.Jiulize unaanza uhusiano na mtu wa namna gani kitabia, kiimani, kimalezi n.k kisha uamue.Unapotaka kufuta/kusitisha uhusiano usikurupuke.Weka mkakati wa kumfanya anayeachwa aanze kupokea ukweli huo taratibu.Inaelekea huyu kijana hakutegemea kuachwa na hakuwa na uwezo kuhimili mshindo wa kuachwa.Kuachwa ni shughuli pevu eti!
2.Wazazi na walezi - kaeni karibu na vijana wenu,Jaribuni kuwaelewa pale inapowezekana,muwe wadadisi kujua wanapokuwa na mahusiano ili muwape mwongozo unaostahili.
Inasikitisha sana kuona vijana wakiteketea kwa kukosa maarifa.
Poleni wale wote walioguswa na msiba na tukio kwa ujumla wake.
sikumaanisha kwamba ni walikuwa watoto, ila baadhi ya watu wanakuwa na akili fupi ya kufikiri, wanafikiri wakati uliopo tu, hawafikiri wakati ujao utakuwa vp. Ndio maana nikasema akili za kitoto, maana mtoto huwa anafikiri wakati uliopo. Hivyo watu wote wanaoua wenzao kwa ajili ya mapenzi au wanajiua kwa ajili ya mapenzi mie huwa nawafanisha akili zao na mtoto.Sidhani kama ni mapenzi ya kitoto. Hii ni (most likely) crime of passion na haijalishi umri wa mtu.
Nani anamkumbuka Clara Harris wa Houston, Texas? Huyu mama alimgeuza mumemwe kuwa speed bumb kwenye roundabout ya hoteli....
Lakini ikumbukwe pia kwamba yule kijana (Mvulana) alikuwa na tabia ya ulevi wa pombe. Pengine cha kujifunza pia ni kwamba wale wanaotumia kinywaji hicho yafaa kuwa waangalifu, wawe na kiasi. Inavyooneka yule jamaa alitenda tendo hilo la kuhuzunisha kwa drive ya pombe. Ukiwa na pombe nyingi kichwani mara nyingi uwezo wako wa kureason na kujitawala unakuwa mdogo. Sasa bila shaka anajutia!