Bukali
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 1,262
- 831
Pesa katoa wapi 1m hizi ni kiki za kijinga tu.Mmh Kaka! Mimi Naona huo Ni uthubutu Mkubwa Sana.
Pesa katoa wapi 1m hizi ni kiki za kijinga tu.Mmh Kaka! Mimi Naona huo Ni uthubutu Mkubwa Sana.
Absolutely True.Better die trying kuliko kukaa tu bila kujaribu jambo
Anhaa! Kuhusu pesa...IPO hivi.. alienda kwa lengo la kujua gharama za kuchukua form! Ila. Baada ya kuambiwa Ni 1m akawa katoka Sasa sijui kesho ataifata hiyo form au ndio Basi tenaPesa katoa wapi 1m hizi ni kiki za kijinga tu.
Dogo ana maono ya mbali sana na umaarufu kashaupata na itakuwa rahisi yeye kutoa kuliko vijana ma jobless kitaaStrategic leadership. Subiri utajua kama ni mpumbavu.
Kesho utashangaa Akimaliza masomo anapelekwa ofisi za chama kukitumikia ( ajira)
Baada ya muda mbunge na hatimaye,naibu Waziri
Vijana wa ccm!Ameona kitu kipo wazi naye anatest zali.Yale yale ya uroho.Kwa nini asisubiri ahitimu masomo yake kwanza?Mmh Kaka! Mimi Naona huo Ni uthubutu Mkubwa Sana.
Nini shida?Mpumbavu tu huyo.
Msomi anaonesha upumbavu wake nje nje.Nchi ina vijana wa hovyo sana.
Laki tano.Fomu shingap
Hapo SasaVijana wa ccm!Ameona kitu kipo wazi naye anatest zali.Yale yale ya uroho.Kwa nini asisubiri ahitimu masomo yake kwanza?
Hivi akichaguliwa ataahirisha masomo ama atakuwa akitokea chuo na msafara wa ma V8 ya spika?
MTU anajitengenezea CV wewe kaa namachuki yako yakichawi...Mpumbavu tu huyo.
Msomi anaonesha upumbavu wake nje nje.Nchi ina vijana wa hovyo sana.
mbona pichani hajaonesha fomu wala hana hata mkoba. Amepewa kweli??Kifupi huyo kachonga barabara mapema amejua kuitumia fursa mapema
Kitendo Cha jina lake kujadiliwa mbele ya kamati kuu ya taifa ya Chama n kengele tosha kuwa Wana asset ipo nyuma
Litunzen hilo jina miaka 5 mbele litafuteni Tena unaweza ukastaajabu
Siasa za Sasa Wala hazihitaji weledi huhitaji tukio moja TU ambalo litaacha alama katika maisha yako
ExactlyHuyo kilichompeleka ni kujua ada ya kuchukua fomu tu basi!!
Huyo kilichompeleka ni kutaka kujua ada ya kuchukua fomu tu basi!!mbona pichani hajaonesha fomu wala hana hata mkoba. Amepewa kweli??
Anajiweka kwenye spotlight wakati muda bado, atatengeneza jina kwa muda mfupi na atapotea mazima kwenye siasa.Mmh Kaka! Mimi Naona huo Ni uthubutu Mkubwa Sana.
Kutokujua nyakati na mahesabu ya siasa.Upumbavu wake nini! Kuutaka uspika?
Huyu anautaka UDC…sio uspeakerUpumbavu wake nini! Kuutaka uspika?
Ndio kiongozi! Kina kozi nyingi Sana kuanzia certificate mpaka masters.Chuo Cha kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere MNMA ni chuo kikuu siku hizi?