Imeripotiwa kuwa mwanafunzi wa kike kutoka shule ya KIBAKWE wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma ameshindwa kufanya mtihani wa VII. Hii ni kutokana na kupewa ujauzito na mwalimu wake mkuu. Mara baada ya kuulizwa ndipo mwanafunzi huyo akamtaja mwalimu wake. Habari zinasema mwalimu huyu yuko mikononi mwa vyombo vya sheria. Tunahitaji hatua ya kindhamu katika utumishi zichukuliwe.