pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
Huyo rubani Na rafikiye itabidi watueleze vizuri
miss zomboko habari zako nyingi ni kuhusiana na vifo... Hili linanifanya nitamani kukuona
Private jet au?
Madagasca. Mwanafunzi wa Chuo cha Kikuu cha Cambridge, Uingereza, Alana Cutland amefariki dunia baada ya kujirusha kutoka katika ndege umbali wa futi 5000 angani.
Mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka 19 inadaiwa alilazimisha kufungua mlango wa ndege hiyo kisha kujirusha katika eneo la Anjajavy.
Polisi nchini Madagasca wamedhibitisha kutokea kwa tukio hilo na kudai kuwa kwa sasa wanaangalia nini kilitokea sekunde chache kabla ya msichana huyo kufa.
Mkuu wa Polisi wa Madagasca, Sinola Nomenjahary alisema kuwa taarifa za awali zinaonyesha kwamba rafiki wa karibu wa msichana huyo, Ruth Johnson na rubani wa ndege hiyo walijaribu kumzuia kwa kumshika mguu kwa sekunde kadhaa bila mafanikio.
“Lakini baada ya sekunde kadhaa Alana alijikwamua na kujirusha chini,” alisisitiza Nomenjahary.
Msichana huyo ambaye alikuwa mwaka wa pili katika masomo ya Biolojia alikuwa akisafiri kwenda nchini India kwa ajili ya safari ya kimasomo ambako inadaiwa walibakiza dk 10 pekee kutua.
Hata hivyo, polisi nchini humo ilisema kuwa wana wasiwasi huenda mwili wa msichana huyo usipatikane kutokana na eneo aliloangukia kutofikika kirahisi.
Duuh, nini shida jamani, tusikatishe maisha ipo siku mambo yatakua ok tu, R.I.P binti mdogoo
Na wengine wanaota kupata elimu unaposoma/uliposoma weweWengine tuna ota lini tuta soma Cambridge. wengne wana waza kujiua
Akishapost anatoka nduki harudi humu tena hahaha miss zombokoHivi miss zomboko amewahi kum copy, tagy mtu au hata ku like au ku comment humu zaidi ya kuanzisha thread pekee?
Alifunguaje mlango wa ndege ya abiria?
ckujua kumbe mlango wa ndege mkiwa angani unafungua tu bila shida kama wa hice za mbagala
Madagasca. Mwanafunzi wa Chuo cha Kikuu cha Cambridge, Uingereza, Alana Cutland amefariki dunia baada ya kujirusha kutoka katika ndege umbali wa futi 5000 angani.
Mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka 19 inadaiwa alilazimisha kufungua mlango wa ndege hiyo kisha kujirusha katika eneo la Anjajavy.
Polisi nchini Madagasca wamedhibitisha kutokea kwa tukio hilo na kudai kuwa kwa sasa wanaangalia nini kilitokea sekunde chache kabla ya msichana huyo kufa.
Mkuu wa Polisi wa Madagasca, Sinola Nomenjahary alisema kuwa taarifa za awali zinaonyesha kwamba rafiki wa karibu wa msichana huyo, Ruth Johnson na rubani wa ndege hiyo walijaribu kumzuia kwa kumshika mguu kwa sekunde kadhaa bila mafanikio.
“Lakini baada ya sekunde kadhaa Alana alijikwamua na kujirusha chini,” alisisitiza Nomenjahary.
Msichana huyo ambaye alikuwa mwaka wa pili katika masomo ya Biolojia alikuwa akisafiri kwenda nchini India kwa ajili ya safari ya kimasomo ambako inadaiwa walibakiza dk 10 pekee kutua.
Hata hivyo, polisi nchini humo ilisema kuwa wana wasiwasi huenda mwili wa msichana huyo usipatikane kutokana na eneo aliloangukia kutofikika kirahisi.
Nawaza kama wewe!Kama sio mapenzi ni nini sasa apo
Ilikua ni ndege ndogo ya kukodi,Uongo huu, alipitia wapi mpaka ajirushe mlangoni ?? dirishani?? hizo sehemu 2 hakuna uwezekano kama ndege ipo hewani
duh, tumepungukiwa na papuchi moja ulimwenguni