Coaster2015
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 2,594
- 2,716
Hawakustahiri hata kusema kwamba wanamtafuta, watu wa namna hii ni tunu wanatakiwa kutunzwa ili waweze kusaidia maendeleo ya nchi, sio hapa kwetu unamki uri halafu anaangukia katika mikono ya ccm, anakubali kuondolewa akili yake yote