BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
ndo kina nani hao?
Sasa mtu kama ni shoga na ukamuita shoga sasa hapo ilo tusi liko wapi hapo? ni nani asiyejuwa kwamba clouds imejaa mashoga na wanaliwa kama mboga!?
ndo kina nani hao?
kachambe kwanza ndo uniambie hivyo, idiot
Vipi Dully? Juzi juzi nilimslkia anamtukana Mchomvu sijui sababu ilikuwa nini?
Jaribu kupata picha ya mashoga (washikishwa ukuta) wakigombana. Dully alishikishwa ukuta miaka ya nyuma baada ya kufumaniwa akimla denda mke wa mtu, jamaa wakamfanyizia kishenzi. Sasa zile hasira za kuliwa kisamvu akamtolea huyu yanki kwenye clouds media badala ya kuambiwa ukweli kuwa anakopi beats za watu. Kwa hasira akajisahau na kuanza kumshambulia jamaa kuwa ni shoga wakati yeye mwenyewe alishabirikiwa kitambo. Nyani haoni kundule.
alaa kumbe dul nae shoga sikujua mimi
kachambe kwanza ndo uniambie hivyo, idiot
kweli umezingirwa na UTOTO
Ni msanii pili sasa(wa kwanza alikuwa TID) anamtukana mtangazaji yule yule wa redio ile ile, kipindi kile kile.
Hii redio ina matatizo tuu.
sababu itakuwepo tu,,,kuna wakat nahisi hawa watangazaj wa clouds huyasaka matusi
Ni msanii pili sasa(wa kwanza alikuwa TID) anamtukana mtangazaji yule yule wa redio ile ile, kipindi kile kile.
Hii redio ina matatizo tuu.
Tatizo sio redio tatizo ni wasanii hawana shule!!! unaweza nitajia wapi ushaona mtu mwenye shule yake akafanya upuuzi kama huo..mbona prof J , Mwana FA waliokwenda shule hawajawahi tukana mtu redioni?? kwanza huyo TID najifanya kujua kingereza lakini anapiga broken mbaya..ndo anakua wa kwanza kutukana watu..hawajui jinsi ya kuhandle interviews..kumbuka kwamba clouds hiyo hiyo ndio inawapa promo kila siku na clouds hiyo hiyo ndio wameitukana..vipaji vya kuunga unga ..kubebwa wabebwe halafu they can't even behave??? bure kabisa..hili tatizo halipo kwa wanamuziki tu bali kwa wale wotee wanaojiita superstars..they don't know how to handle situations in interviews ..mtu mwenye busara utamtambua tu pale unapopata swali gumu kama hilo unaweza lijibu vipi proffessionally, lakini kwakuwa vichwa vyao maji..anabakia tu kutukana..hana akili zaidi ya kunywa bia tu...majinga makubwaNi msanii pili sasa(wa kwanza alikuwa TID) anamtukana mtangazaji yule yule wa redio ile ile, kipindi kile kile.
Hii redio ina matatizo tuu.