Muarubaini
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 222
- 48
Ilikuwa nikipindi cha gosp cha claud pale sud brown alipomuuliza dul kuhusu kukopi bit wa mwanadada wa kijamaica
Ni clouds,dully kamwambia suddy brown ni shoga.
Ilikuwa nikipindi cha gosp cha claud pale sud brown alipomuuliza dul kuhusu kukopi bit wa mwanadada wa kijamaica
Kapigiwa cm na mtangazaj wa kituo gan?
kachambe kwanza ndo uniambie hivyo, idiotHumo kwenye blue ni mambo ya kitoto_andika ueleweke please.
Ilikuwa nikipindi cha gosp cha claud pale sud brown alipomuuliza dul kuhusu kukopi bit wa mwanadada wa kijamaica
alaa kumbe dul nae shoga sikujua mimiKwani wasanii wa Bongo Fleva beats wanatoa wapi? Tanzania hatuna muziki wa Zouk, Kwaito, Reggae, bali ni rumba iliyotoka Congo/Kinshasa na wao wali imodernize kwani asili ya huu muziki wa Congo ni Cuba na ulikuwa unaitwa Afro - Cuban. Tanzania na Congo in the 1950's (late) tukaja na style yetu ya kiafrika na kuachana na ile ya Cuba (salsa/charanga). Hivyo muziki wa asili wa tanzania ni rumba dizaini ya msondo na Sikinde, ila hii ya Bongo Fleva si miziki yetu lakini utashangaa mtu hapa Tanzania anaitwa malkia wa Zouk, au mfalme wa Kwaito, sasa wenye huo muziki waitwe nani, wababaishaji? Hakuna msanii wa Fleva hapa Bongo mwenye beats zake, wote hawa feki wanakopi tu. Diamond kwa sasa anatumia beats za Nigeria, Jay Dee Kwaito, yaani mambo ya kukopi tu na ku paste, inaboa kishenzi. Dully lazima akasirike kwani kakamatwa na hakutegemea kama kuna watu wanajua ile beats. Masuala ya ushoga kwani yeye pia si kuna jamaa walimtwanga kisamvu chake/kumshikisha ukuta miaka ya nyuma baada ya kulala na mke wa mtu? Sasa yeye aitwe nani?
Sasa mtu kama ni shoga na ukamuita shoga sasa hapo ilo tusi liko wapi hapo? ni nani asiyejuwa kwamba clouds imejaa mashoga na wanaliwa kama mboga!?
dug kumbe sugu alikuwa sahihi?
Sasa mtu kama ni shoga na ukamuita shoga sasa hapo ilo tusi liko wapi hapo? ni nani asiyejuwa kwamba clouds imejaa mashoga na wanaliwa kama mboga!?
sasa mtu kama ni shoga na ukamuita shoga sasa hapo ilo tusi liko wapi hapo? Ni nani asiyejuwa kwamba clouds imejaa mashoga na wanaliwa kama mboga!?
Adam Mchovu & co.hapo kwenye red...wataje!!!