TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 4,974
- 15,310
Mara nyingi nimekua nikiona watu wanaoleta mada ambazo wanadhani ni ngumu kueleweka (hasa jukwaa hili) hua wanapenda kutumia misemo kama "Kwa akili ya kawaida huwezi kuelewa" au "mtu wa kawaida hatanielewa" au utasikia "swala hili liko nje ya upeo wa akili za mwanadamu" (hasa mambo ya dini) n.k.
Mimi siku zote nimekua nikijiuliza "kama swala liko nje ya upeo wa akili ya mwanadamu, au haliwezi kueleweka kwa akili ya mwanadamu, huyo anaeliwasilisha yeye hua ametumia akili ya wapi kuweza kulielewa?"
Mimi siku zote nimekua nikijiuliza "kama swala liko nje ya upeo wa akili ya mwanadamu, au haliwezi kueleweka kwa akili ya mwanadamu, huyo anaeliwasilisha yeye hua ametumia akili ya wapi kuweza kulielewa?"