Umeona eeh..asituletee visingizio hapaAtalea tuu hamna namna na asipolea patachimbika maana atakosa bara na pwani
Mwanakulatafuta mwanakulipata hahahaaUmeona eeh..asituletee visingizio hapa
Anatakiwa atoe huduma kichaa kinampandaWewe juzi tu hapa ulikuwa unajisifia kuzaa nje ya ndoa leo unatokwa povu? Imekuwaje tena?
HahahaAnatakiwa atoe huduma kichaa kinampanda
ha ha ha ha ha kama nakuona vileLea mtoto huyo..acha visingizio ulivyokuwa unatiana hukujua yote yatatokea..umepachika mimba unakuja na kisingizio Cha kusota kiuchumi..ungejua yote ungetulizana.
Wanaume bwana
Wanaweza wakakufanya uchanganikiweHaha MZALENDO NO.1 haya mambo waliyaweza wahenga, kumaintain wanawake wawili wasikupe shida sio lelemama🤣🤣🤣
Na maisha ni safari ndefuSio wao shida ni maisha..
Mbaya zaidi ukute umefanana naye, hapo kuwajibika inawezekana na si kwa kulazimishana.Umeona eeh..asituletee visingizio hapa
Mwanamke anawaza10 kwa dk5 wewe Unawaza nenda nae taratibu, wajibika kwa mwanao usije kutia petrol kwenye motoWanaweza wakakufanya uchanganikiwe
ha ha ha ha tatizo mnakaba sanaWewe juzi tu hapa ulikuwa unajisifia kuzaa nje ya ndoa leo unatokwa povu? Imekuwaje tena?
Tatizo kubwa ni umaskini na tamaa za wadada
Wanataka wenye hela na wenye hela wengi wao sana familia
Shida wengine ni wasumbufu, wahenga wanasema miluzi mingi inaweza kukupotezea uelekeoMwanamke anawaza10 kwa dk5 wewe Unawaza nenda nae taratibu, wajibika kwa mwanao usije kutia petrol kwenye moto
ha ha ha haMume wa mtu raha yake ni kumchuna tu.
Basiiii kigori sio kumganda hapo unapoteza muda .