Mwanadada una-date na mume wa mtu ukitegemea akuoe, hiyo haipo kabisa

Lea mtoto huyo..acha visingizio ulivyokuwa unatiana hukujua yote yatatokea..umepachika mimba unakuja na kisingizio Cha kusota kiuchumi..ungejua yote ungetulizana.

Wanaume bwana
ha ha ha ha ha kama nakuona vile
 
Back
Top Bottom