Mwanadada, ukivaa gauni la chui chui lisikupendeze, hakuna nguo itakayokupendeza!

Aisee mimi hizo nguo huwa zinanikamata sana, hasa ukute Dada aliyeivaa inamkaba vizuri ana chura ya kawaida kuna hiyo ya chui na ile ya pundamilia aisee naweza nikasindikiza mtu mpaka anapoishia.
 
Ha ha mmesahau pundamilia. Akiwa anatembea na mzigo unanesanesa lazima uchanganyikiwe
 
a21794cbbc35bcc8eaeaa8b7509643ec.jpg

Alluh kumbe?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom