Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,785
- 28,806
Kama Mange tu
Ingiza timu ndani ya sudan utafanikiwa mkuu
In God we trust
Wewe umeshindwa kumtoa mbowe sasa unaomba msaada wa wanawake, kituko.Huyu hapo chini ni Bi. Alaa Salah miaka 22, Mwanafunzi wa chuo kikuu cha Kimataifa cha Sudan( SIU ) aliyeongoza maandamano ya kumg'oa Rais wa Sudan
Anasema yeye kama Mwanamke anafurahi kwa kutimiza wajibu wake nchini mwake.
Hili liwe fundisho kwa dada zetu kuwa chachu ya mabadiliko.
View attachment 1069675
In God we trust
Vultures nyie, muacheni mtoto wa watu apumzike.Huyu ndiye atakuwa mkombozi wa wanawake wote wanao jitambua
In God we trust
Hivi unatumia akilinipi mkuu kulinganisha Magu wa miaka 3 madarakani na jamaa wa madarakani zaidi ya miaka 30?Naona mkisikia yanayotokea sudan mnaweweseka
In God we trust
Nyama ipi zaidi ya kuwa alihamasisha maandamano?Alisaidia vipi kung'olewa kwa Al Bashir...,?ongeza nyama mtoa hoja!
Sent using Jamii Forums mobile app