mwanachuo atoa mimba ya miezi saba CBE DiODOMA na kutupa kichanga chooni

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
May 24, 2008
10,942
428
mwanachuo atoa mimba ya miezi saba CBE DODOMA CAMPUS na kutupa kitoto kichanga chooni CBE DODOMA CAMPUS kikiwa tayari kimekufa
wanafunzi wa chuo cha biashara dodoma wameokota kitoto kichanga kikiwa kimesukumiwa ndani ya karo la toilet.tukio ilo la kutoa mimba llimelahaniwa vikali na viongozi wa dini.lakini cha kusikitisha ni kwamba uongozi wa chuo umeshindwa hata kUtoa karipio
 
Get to know that there is a special way to deal with such things. If you deal with them reactively you r just fueling the fire...matukio yatazidi!

Karipio kama linatolewa...Mtoaji yeye binafsi awe ni mtu clearn..morally and psychologicaly..kama ni msanii ..then will put the whole game ..from bad to worse...bora wanyamaze kama hivyo....AU Kama Rais wetu Kikwete anvyonyamaza....bila kukaripia Mafisadi hadharani...in a special way..it pays sometimes..!

Kama kwa mfano the curent issue, subject atajulikana pls, dont react to her... deal with her not by punching her on JF. Wanachuo msije kufanya hilo kosa...Firm corrections with full of love, must be given to her/them but not REACTIVELY!!!!

You know what those Ladies they need LOVE not SEX but there is no the realy man to Perform such a service!!!

Get to teach those good ladies ..this particular concept and oneday..you will recover from the problem.
 
Back
Top Bottom