alumn
JF-Expert Member
- Jul 15, 2018
- 2,362
- 3,103
Hii Ndugai anahusika moja kwa moja.
Ndugai ni mjinga na mpumbavu sana yule mzee
Eheheheeheheheh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii Ndugai anahusika moja kwa moja.
Ndugai ni mjinga na mpumbavu sana yule mzee
Nashangaa wananchi hao wezi wa mabilion wanawaachia wanauwaua wezi wa sim,kukuWezi wengine wapo maofisini wanapigwa na viyoyozi na wezi Hawa Ndio wanaowapa hasira hizo wananchi.
Inauma sanaUmasiki, ujinga na kukosa elimu au Elimu duni. ndio mazao ya haya yanayotokea sasa hivi.
Sijawahi sikia china kuna mwanafunzi ameuwawa kisa simu ambayo hujui kama kweli ya wizi au ya kwake ila labda zimefanana tu sababu simu zina matoleo.
Bila kutatua hivyo vitu japo juu itakuwa ngumu kuendelea kama taifa na haya mambo yataendelea kutokea kila siku.
Hapo Tunasubiri uchunguziLugha rahisi kakutwa na simu sio yake, sasa haijulikani kama kaiba ama kauziwa na mtu mwingine aliyeiba.
Wangemsikiliza pengine angemsema aliyemuuzia, ila kama hajataja aliyemuuzia basi atakuwa kaiba yeye.
Uchunguzi wakati mwanafunzi ameshauwa? Nilifikiria hao waliomuua walivyomkamata wakaona simu ni ya wizi wangempeleka polisi uchunguzi ufanyike.Uchunguzi unafanyika tutafahamu zaidi
Acha tu Emmanuel , sasa huyo mwanachuo kumuua ndio suluhu ya kujua yeye ndio kaiba hiyo simu?Tatizo nchi yetu wanachukua maamzi mkononi
Mwanachuo aliyekuwa akisoma katika Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Tawi la Mbeya Jofrey J. Nyoni aliuawa na wananchi mwenye hasira kali katika kata ya Sinde jijini Mbeya.
Mwanachuo huyo aliuliwa ikidaiwa kumiliki simu ya wizi wengine wakidai kuwa ameiba simu siku ya tarehe17-05-2021
Taarifa rasmi zilitolewa chuoni tarehe 18-05-2021.
Uchunguzi wa kifo hicho bado unafanyika kubaini kua aliiba au alikutwa na simu ya wizi.
Tuwe wazalendo
Hii Ndugai anahusika moja kwa moja.
Ndugai ni mjinga na mpumbavu sana yule mzee
Umesema maneno mazuri sana,kitendo kilaaniwe na kila mpenda haki.Hao wanainchi wametumia akili gani kuua mtoto wa mwenzao kisa tu wamemkuta na mali ya wizi, kwann wasingemuhoji kisha wamkabidhi kwa polisi?!
Yaani kuchukua sheria mkononi si jambo jema kabisa mkuuwengi wanakutwa na mikasa ya namna hii siyo kwamba wameiba simu hizo ila wanakuwa wamenunua mtaani kwa bei nafuu, kumekuwepo na wimbi kubwa la watu kukamatwa na kutiwa matatani kutokana na kadhia hii.
Nchi ya kutuhumiana na kuuana. Mungu pigania watu wakoHaya yote ni mambo ya watu tu.
Huyo Bwana anasingiziwa na hata ukiomba uthibitisho kwamba yupo hutaupata.
Inasikitisha kuona umasikini na ujinga unavyosababisha watu kuuana.
Dah hii nayo Kali, kazi njema katika utafutaji wa adui yakoKWA MIMI NILIYEIBIWA SIMU JUZI TU NA KUPOTEZA VITU VYA MSINGI NA KAMA KWELI ALIKUWA MWIZI BASI SINA CHA KUSIKITIKIA.
JIFUNZE UISLAMU KUTOKUNUNUA VITU MTAANI KWA KIGEZO CHA BEI YA CHEE.
MIMI BADO NAMTAFUTA MWIZI WANGU, SIKU NIKIMPATA NITAMKAMATA KWA UNYENYEKEVU