Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
- Thread starter
- #141
Kuna msukuma, pole pole sijui sasa hivi wanajisikia vipi. Lkn hawana la kusema au kufanya maana aliye mrudisha ni mwenye chama chake.Kuna yule Msukuma alimdhalilisha Mzee wa watu kwa maneno machafu sijui sasa anaweza kumtazama usoni.