TANZIA Mwanachama mwenzetu Warumi afariki dunia akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili

Status
Not open for further replies.
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Pumzika Love.
🙏Ahsante kwa maisha yako.
Ahsante kwa kila kicheko ulinipa.
Sikukujua kwa sura, nilikupenda kwa uhusika uliouweza mno.
Ilinitosha.
Celebrities Forum itabaki kuwa yako.
Aina yako ya umbea na namna unausongesha ilikuwa ta tofauti mno.


Umefanya mpk nimepat ban ................wewe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😭😭😭😭😭😭😭.
Haya bana pumzika mdogo wangu.
Ahsante for all the moments we laugh.

Ulitaka nikukumbuke ukiwa na furaha.
Hukutaka nione maumivu yako.
Nitabaki nakukumbuka a Happy person.
Nitabaki nakukumbuka a Self Owning person

Love you, and Nenda Salama Warumi.
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

Haya ila.
 

Pumzika Love.
Ahsante kwa maisha yako.
Ahsante kwa kila kicheko ulinipa.
Sikukujua kwa sura, nilikupenda kwa uhusika uliouweza mno.
Ilinitosha.
Celebrities Forum itabaki kuwa yako.
Aina yako ya umbea na namna unausongesha ilikuwa ta tofauti mno.


Umefanya mpk nimepat ban ................wewe
.
Haya bana pumzika mdogo wangu.
Ahsante for all the moments we laugh.

Ulitaka nikukumbuke ukiwa na furaha.
Hukutaka nione maumivu yako.
Nitabaki nakukumbuka a Happy person.
Nitabaki nakukumbuka a Self Owning person

Love you, and Nenda Salama Warumi.


Haya ila.

Umemwelezea vyema mno… apumzike kwa amani.
 
View attachment 1917793
Kwa masikitiko makubwa ninapenda kuwapa taarifa ya mdau mwenzetu humu anayeitwa warumi amefariki usiku wa kuamkia leo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa anapambana kwa ugonjwa wa figo.

Taarifa hii nimepewa na dada yake muda huu, msiba upo Tegeta .

Msiba utasafirishwa kwenda Mbeya.

UPDATE.
Misa ya kumuaga itafanyika kesho tarehe 27 August saa 8 mchana Muhimbili.

Pia soma > Rambirambi za mwanachama mwenzetu Warumi
Huyo ndiyo warumi?
 

Pumzika Love.
Ahsante kwa maisha yako.
Ahsante kwa kila kicheko ulinipa.
Sikukujua kwa sura, nilikupenda kwa uhusika uliouweza mno.
Ilinitosha.
Celebrities Forum itabaki kuwa yako.
Aina yako ya umbea na namna unausongesha ilikuwa ta tofauti mno.


Umefanya mpk nimepat ban ................wewe
.
Haya bana pumzika mdogo wangu.
Ahsante for all the moments we laugh.

Ulitaka nikukumbuke ukiwa na furaha.
Hukutaka nione maumivu yako.
Nitabaki nakukumbuka a Happy person.
Nitabaki nakukumbuka a Self Owning person

Love you, and Nenda Salama Warumi.


Haya ila.
Atakuwa alikukula madame haki siyo maombolezo haya.
 
JAM.jpg


 
Mamndenyi I hope one day, you u will find a place in your heart to kunitaka radhi.

Siku moja lakini, si lazima leo.
Hata baada siku moja ukikuta thread kama hii kunihusu mimi, katika vitu usisahau ni kuandika.
"I am sorry Snowhite"
Nitaipokea nitakapokuwa.
 
Uko na shida mahali, na ni mwepesi wa kusahau sana.
Mbona watu walilia na wewe sana hapa ulipofiwa,ulipokuwa unauguza je wale wanaume wote walikukula?
Wanasemaga umri unaendana na hekima lakini mbona umekosa hata robo ya hekima?
Msamehe bure.
unajua hata vichaa, wehu, malaya, wasengenyaji nao huzeeka! so usitegemee asili ikapotea
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom