Tukachambwa hadi kwa blog ya sinta jamaniDaah andjul ali-like comment yangu kwenye uzi wa zamani wa Warumi. Mmh ile nafungua naona RIP kwenye ID ya Warumi; nikakukumbuka ghalfa. Kwa kweli mmepitia mengi na Warumi kwenye hekaheka za umbea. Nakumbuka enzi zile mnachambana na Matola;Warumi anachanganyikiwa na vichambo hadi anajiquote mwenyewe.
Evelyn Salt unakumbuka binamu alivyoenda kulala kwenye msiba wa Marehemu Kuambiana ili tu kutuletea ubuyu? Daah binamu yetu maskini
Nikiwaona hivi wadau wa enzi za warumi.Tukachambwa hadi kwa blog ya sinta jamani
Kipindi hicho mi na warumi ndio tumejiunga jf matola alitusumbua jamani tunachanganyikiwa kabisa tunaenda pm tutumie mbinu gani kumtukana Matola
Halaf ananiambia eee binam dina li matola linachamba hili limbwaaa 😂😂😂
Tukachambwa hadi kwa blog ya sinta jamani
Kipindi hicho mi na warumi ndio tumejiunga jf matola alitusumbua jamani tunachanganyikiwa kabisa tunaenda pm tutumie mbinu gani kumtukana Matola
Halaf ananiambia eee binam dina li matola linachamba hili limbwaaa
Yaniiiiii daaaah.Watu walikuwa wakimtukana warumi
Warumi anagoma kutupa umbea kisa hatumsaidii akichambwa
Ikabidi tuanze kuwa tunamsaidia
Nitammiss jamanu warumi
Watu walikuwa wakimtukana warumi
Warumi anagoma kutupa umbea kisa hatumsaidii akichambwa
Ikabidi tuanze kuwa tunamsaidia
Nitammiss jamanu warumi
Hata taarifa ikiletwa isiletwe haikusaidii lo lote mkuu. Ishi vizuri na watu. Mche Mungu wako. Mengine waachie wanadamuAseee kifo hiki kimeanza kunihuzunisha kwamba Siku nikifa sijui nani ataleta taarifa humu.
R.I.P. Warumi.
Alituchaaaambaaa.Unakumbuka siku ile alipigwa ban ya kuonewa; tukaanzisha #BringBackWarumi#, hadi akarudishwa. Weee alivoprudishwa sasa tulikoma "mmbea mwenye nyota yangu sijui sina mpinzai na nini". Daah binamu ahsante sana kwa yote