johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,891
- 141,824
Akiongea mjini Rungwe leo mmoja wa vijana aliyekuwa CHADEMA na sasa amehamia CCM amekiri na kutubu dhambi zake kwamba alishiriki maandamano ya Nyololo, Morogoro na Kinondoni yaliyopelekea mauaji ya Mwangosi, Aquilina na muuza magazeti.
Kijana huyo ambaye alikuwa anaongea mbele ya makamu wa Rais mama Samia na wananchi wa Rungwe amesema maandamano hayo yalikuwa ni utekelezaji wa Azimio la Mwanza lililokuwa linatekelezwa na CHADEMA.
Amesisitiza kuwa akiwa CHADEMA ameshiriki uharamia mwingi na kufungwa jela mara kadhaa kwa maslahi ya chama lakini sasa imetosha anaomba toba kwa Mungu na anaamini CCM ni mahali salama tofauti na CHADEMA walikosheheni wahuni.
Nitajaribu kuweka clip ili mumsikie ninyi wenyewe, inatisha.
Maendeleo hayana vyama!
Kijana huyo ambaye alikuwa anaongea mbele ya makamu wa Rais mama Samia na wananchi wa Rungwe amesema maandamano hayo yalikuwa ni utekelezaji wa Azimio la Mwanza lililokuwa linatekelezwa na CHADEMA.
Amesisitiza kuwa akiwa CHADEMA ameshiriki uharamia mwingi na kufungwa jela mara kadhaa kwa maslahi ya chama lakini sasa imetosha anaomba toba kwa Mungu na anaamini CCM ni mahali salama tofauti na CHADEMA walikosheheni wahuni.
Nitajaribu kuweka clip ili mumsikie ninyi wenyewe, inatisha.
Maendeleo hayana vyama!