mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,583
- 11,659
Serikali Ya Awamu Ya Tano Imewekeza Zaidi Kupambana Na Wanasiasa Wa Upinzani Kuliko Ilivyowekeza Kwenye Kutatua Changamoto Za Wananchi !
Mtu MKWELI ni rasilimali muhimu kwa taifa letu. Haijalishi UKWELI huo anausemaje, anamueleza nani, ni mchungu kiasi gani.
Una post propaganda kusema uko kwenye vita ya kiuchumi, vita na nani? Na viongozi walio saini mikataba mobovu? Wawekezaji? Wananchi?
mr mkiki