Pepombili
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 439
- 58
Jamii ya kitanzania ni jamii ya watu wa aina mbali mbali kama zifuatazo:
1-Wakulima
2-Wafanyakazi
3-wafanyabiashara
4-Wanasiasa
5-Wafugaji
Lakini kwa hali ya sasa inaonesha ya kwamba fani ya siasa imevamiwa na jamii ya watu wenye asili ya Ukulima na ufugaji, na asili hii ya watu hawa wengi wao wana sifa ya kutokuwa wavumilivu na wenye hasira na wanaoshindwa kudhibiti hasira zao yaani hawana subra. Siasa ni fani nzito sana inayohitaji uvumilivu wa hali ya juu maana unahusika na jamii moja kwa moja na wala sio ufugaji au ukulima ambao unahusika na ardhi na wanyama. jamii hii ya wakulima walivamia fani ya siasa wengi wao hawana lugha nzuri kwenye vinywa vyao na wala hawana hekma ya siasa ambayo ni lugha safi na matamshi mazuri yenye hekma na bashasha, siasa si hasira.
kwa mtazamo huo mfupi hivi ni nani anastahilikuitwa mwanasiasa maana wengi wamekosa luhga safi na maneno mazuri yenye hekma
1-Wakulima
2-Wafanyakazi
3-wafanyabiashara
4-Wanasiasa
5-Wafugaji
Lakini kwa hali ya sasa inaonesha ya kwamba fani ya siasa imevamiwa na jamii ya watu wenye asili ya Ukulima na ufugaji, na asili hii ya watu hawa wengi wao wana sifa ya kutokuwa wavumilivu na wenye hasira na wanaoshindwa kudhibiti hasira zao yaani hawana subra. Siasa ni fani nzito sana inayohitaji uvumilivu wa hali ya juu maana unahusika na jamii moja kwa moja na wala sio ufugaji au ukulima ambao unahusika na ardhi na wanyama. jamii hii ya wakulima walivamia fani ya siasa wengi wao hawana lugha nzuri kwenye vinywa vyao na wala hawana hekma ya siasa ambayo ni lugha safi na matamshi mazuri yenye hekma na bashasha, siasa si hasira.
kwa mtazamo huo mfupi hivi ni nani anastahilikuitwa mwanasiasa maana wengi wamekosa luhga safi na maneno mazuri yenye hekma