BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,315
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ...Kazi Iendelee
Nichukue nafasi hii adhimu kabisa kuendelea kumpongeza Mama Yetu mpendwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendelea kuvuta wawekezaji nchini ambao baadhi yao wamekuja au wanakuja pia kutazama vivutio vya kitalii nchini kwetu. Niwapongeze pia sekta nzima ya utalii nchini wanaoendelea kupambana usiku na mchana kuhakikisha nchi ya Tanzania uwekezaji na utalii uzifi kupaa juu.
Pengine wadau wa sekta ya utalii/uwekezaji hawajui kama nchini yetu na vivutio vyetu vimetembelewa na mtu muhimu sana kutoka umoja wa nchi za falme za kiarabu( UAE) si mwingine ni Mwana Mfalme, Crown Prince of DUBAI Sheikh Hamdan bin Mohammed bin Rashid Al Maktoum. Jamani sijui niseme nini, kutembelewa na mtu kama huyu kwakweli as Tanzanians we are very honoured.
Pengine hajataka attention sana lakini this is very huge. Huyu ni mtoto wa Makamu wa Rais wa UAE aitwaye Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum ambaye alikalia kiti hicho baada ya kifo cha kaka yake mwaka 2006, Sheikh Maktoum.
Prince huyu tulienae humu nchini akitembelea vivutio vyetu, ana utajiri wa usiopungua wa Dola Bilioni 5.5 sawa na Trilioni za kitanzania 12, na ana umri wa miaka 39. Kijana mpole na mstaarabu, anapenda kujichanganya na kila rika, anapenda michezo, wanyama haswa ngamia, adveture, ndege
Nawasalimu tena kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania..Kazi iendelee! Hongera Mama ..Hongera sekta nzima ya Utalii na Uwekezaji nchini.
Nichukue nafasi hii adhimu kabisa kuendelea kumpongeza Mama Yetu mpendwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuendelea kuvuta wawekezaji nchini ambao baadhi yao wamekuja au wanakuja pia kutazama vivutio vya kitalii nchini kwetu. Niwapongeze pia sekta nzima ya utalii nchini wanaoendelea kupambana usiku na mchana kuhakikisha nchi ya Tanzania uwekezaji na utalii uzifi kupaa juu.
Pengine wadau wa sekta ya utalii/uwekezaji hawajui kama nchini yetu na vivutio vyetu vimetembelewa na mtu muhimu sana kutoka umoja wa nchi za falme za kiarabu( UAE) si mwingine ni Mwana Mfalme, Crown Prince of DUBAI Sheikh Hamdan bin Mohammed bin Rashid Al Maktoum. Jamani sijui niseme nini, kutembelewa na mtu kama huyu kwakweli as Tanzanians we are very honoured.
Pengine hajataka attention sana lakini this is very huge. Huyu ni mtoto wa Makamu wa Rais wa UAE aitwaye Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum ambaye alikalia kiti hicho baada ya kifo cha kaka yake mwaka 2006, Sheikh Maktoum.
Prince huyu tulienae humu nchini akitembelea vivutio vyetu, ana utajiri wa usiopungua wa Dola Bilioni 5.5 sawa na Trilioni za kitanzania 12, na ana umri wa miaka 39. Kijana mpole na mstaarabu, anapenda kujichanganya na kila rika, anapenda michezo, wanyama haswa ngamia, adveture, ndege
Nawasalimu tena kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania..Kazi iendelee! Hongera Mama ..Hongera sekta nzima ya Utalii na Uwekezaji nchini.
Picha chini akiwa amepiga na jamii ya wamasai, akifurahi nao pamoja kwenye mojawapo ya sehemu za vivutio Tanzania.