Mwana Mfalme "Kuki, Mkorosho" asimamisha shughuli za MV Kigamboni!

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Dec 22, 2010
16,987
20,271
Katika kuonyesha kuwa tz inapinga shingo upande juu ya agizo la London, Mwana mfalume na kidosho wake wamefika tz na leo watatembelea Kigamboni kufungua visima vya maji ambayo ni yetu lakini wapumbavu wanasema ni ya msaada toka uk!
Mida hii hapa feri ni maandalizi ya ujio wake na ktk hali ya kushangaza pantoni moja limesimamishwa na kufanya hali ya usafiri kuwa mbaya sana! Foleni ni kubwa sana kiasi kwamba hata wanausalama tunapata tabu kutekeleza majukumu yetu!

Hivi ndivyo tunavyo ukubali ushoga kiaina!
 
Hakuna mwenye jeuri ya kuipinga London, acha watu wapige kelele majukwaani, lakini wakija tunafyata mkia!
 
wapuuzi kweli hawa.....kwani hawakulijua hil mapema wakarekebisha dosari na kukarabati??.....
 
kweli hawa jamaa wanaongea tu mara ..'hatutaki misaada yao', 'tunajitoa commonwealth' na mengine mengi kumbe yote ni kelele tu za wafamaji. Hii inanikumbusha wimbo mmoja uliokuwa nadhani na maneno haye
"bring back those simple days of yesterday
when men were men
and friends were friends
....
....
when we said what we meant
and meant what we said"

Ambapo sasa ni kinyume chake!

Hakuna mwenye jeuri ya kuipinga London, acha watu wapige kelele majukwaani, lakini wakija tunafyata mkia!
Ushoga oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Katika kuonyesha kuwa tz inapinga shingo upande juu ya agizo la London, Mwana mfalume na kidosho wake wamefika tz na leo watatembelea Kigamboni kufungua visima vya maji ambayo ni yetu lakini wapumbavu wanasema ni ya msaada toka uk!
Mida hii hapa feri ni maandalizi ya ujio wake na ktk hali ya kushangaza pantoni moja limesimamishwa na kufanya hali ya usafiri kuwa mbaya sana! Foleni ni kubwa sana kiasi kwamba hata wanausalama tunapata tabu kutekeleza majukumu yetu!

Hivi ndivyo tunavyo ukubali ushoga kiaina!

dunia hii ukiendekeza njaa utadhalilisha sana utu wako....
 
Ng'ombe hanoni siku ya mnada....hata hivyo tunashukuru kuja kwao kwani huoni hata kivuko kimefanyia matenegenzo ya uhakika...mgeni njoo mwenyeji apone.
wapuuzi kweli hawa.....kwani hawakulijua hil mapema wakarekebisha dosari na kukarabati??.....
 
Alaaaaaa kumbe...basi ndo mana leo mv.kigamboni alfajiri ilikuwa imepaki inaoshwa na kupigwa rangi
 
Back
Top Bottom