Mwana jf, tukikupa urais wa tanzania 2015 utatufanyia mambo gani ili tusikuite dhaifu?..

Chilisosi

JF-Expert Member
Oct 19, 2008
3,051
747
Kila kukicha asilimia kubwa ya thread zinazoanzishwa hapa ni za kutoridhishwa na utawala uliopo. Sasa mie nimekaa nimefikiri na kujiuliza hivi wewe mlalamikaji kama mimi (mimi pia hulalamikia utawala kwa mambo tofauti) ungekuwa rais ungefanya nini.
Mie binafsi ningeanza na mambo yafuatayo
Mkuu wa polisi ningetafuta dizaini ya MAHITA.
Muungano ningeuvunjilia mbali na wazanzibari wote ningewapa siku saba wawe wamerudi kwao na ningetuma meli na ndege kuwarudisha ndugu zangu bara kutoka zanzibar.
Waziri mkuu wangu angetoka chama cha upinzani ili kuwe na maamuzi ya kukosoana siyo mambo ya ndiyo mzee.
Hukumu ya kifo kwa mafisadi.
Ningeanzisha ile kitu ya tajirika na mrema , yaani ukifichua mabovu ikajulikana ni kweli basi una milioni tano. hii ingefanya wengi waogope kuiba na ujambazi ungepungua sana hata mafisadi wasingeweza kwa sababu kila mtanzania angekuwa polisi.
Nitahakikisha kila kiongozi aliyepita mali zake zinachunguzwa hii ikiwa na familia yake kwa ujumla na ikionekana ni mali ya uma au rushwa basi anafilisiwa na kufikishwa kizimbani kama Mbarak.
Bandari ya mtwara ingekuwa free port kama dubai.
Mapato ya mafuta na gesi ningeyapeleka kwenye sekta za afya, elimu na kilimo which means elimu bure kwa wote, afya bure kwa wote na msaada wa bure kwa wakulima wadogo, kuwe na mtrekta ya serikali kila kijiji kuwalimia bure wasiojiweza.
Wanzafunzi wanakopeshwa wakifika vyuoni ili wajiandae na maisha yao halafu watalipa wakati wanafanya kazi.
W azee wote ningewatunza bure.
Ukianzisha kikundi kama uamsho unakuwa umejitangazia kifo nitahakikisha unapotezwa kikolimba

Haya ni mawazo yangu binafsi wewe je????
 
kila kukicha asilimia kubwa ya thread zinazoanzishwa hapa ni za kutoridhishwa na utawala uliopo. Sasa mie nimekaa nimefikiri na kujiuliza hivi wewe mlalamikaji kama mimi (mimi pia hulalamikia utawala kwa mambo tofauti) ungekuwa rais ungefanya nini.
Mie binafsi ningeanza na mambo yafuatayo
mkuu wa polisi ningetafuta dizaini ya mahita.
Muungano ningeuvunjilia mbali na wazanzibari wote ningewapa siku saba wawe wamerudi kwao na ningetuma meli na ndege kuwarudisha ndugu zangu bara kutoka zanzibar.
Waziri mkuu wangu angetoka chama cha upinzani ili kuwe na maamuzi ya kukosoana siyo mambo ya ndiyo mzee.
Hukumu ya kifo kwa mafisadi.
Ningeanzisha ile kitu ya tajirika na mrema , yaani ukifichua mabovu ikajulikana ni kweli basi una milioni tano. Hii ingefanya wengi waogope kuiba na ujambazi ungepungua sana hata mafisadi wasingeweza kwa sababu kila mtanzania angekuwa polisi.
Nitahakikisha kila kiongozi aliyepita mali zake zinachunguzwa hii ikiwa na familia yake kwa ujumla na ikionekana ni mali ya uma au rushwa basi anafilisiwa na kufikishwa kizimbani kama mbarak.
Bandari ya mtwara ingekuwa free port kama dubai.
Mapato ya mafuta na gesi ningeyapeleka kwenye sekta za afya, elimu na kilimo which means elimu bure kwa wote, afya bure kwa wote na msaada wa bure kwa wakulima wadogo, kuwe na mtrekta ya serikali kila kijiji kuwalimia bure wasiojiweza.
Wanzafunzi wanakopeshwa wakifika vyuoni ili wajiandae na maisha yao halafu watalipa wakati wanafanya kazi.
W azee wote ningewatunza bure.
Ukianzisha kikundi kama uamsho unakuwa umejitangazia kifo nitahakikisha unapotezwa kikolimba

haya ni mawazo yangu binafsi wewe je????

mimi nitaondoa udini na kuweka taifa moja lenye upendo wa dhati
 
Mwana JF wa kwanza mmempigia debe kadodondokea pua, wa pili kadondokea kidevu, watatu itakuwa uso. Jaribuni sana, Kikwete ndio huyooooo anapuyanga.
 
Kila kukicha asilimia kubwa ya thread zinazoanzishwa hapa ni za kutoridhishwa na utawala uliopo. Sasa mie nimekaa nimefikiri na kujiuliza hivi wewe mlalamikaji kama mimi (mimi pia hulalamikia utawala kwa mambo tofauti) ungekuwa rais ungefanya nini.
Mie binafsi ningeanza na mambo yafuatayo
Mkuu wa polisi ningetafuta dizaini ya MAHITA.
Muungano ningeuvunjilia mbali na wazanzibari wote ningewapa siku saba wawe wamerudi kwao na ningetuma meli na ndege kuwarudisha ndugu zangu bara kutoka zanzibar.
Waziri mkuu wangu angetoka chama cha upinzani ili kuwe na maamuzi ya kukosoana siyo mambo ya ndiyo mzee.
Hukumu ya kifo kwa mafisadi.
Ningeanzisha ile kitu ya tajirika na mrema , yaani ukifichua mabovu ikajulikana ni kweli basi una milioni tano. hii ingefanya wengi waogope kuiba na ujambazi ungepungua sana hata mafisadi wasingeweza kwa sababu kila mtanzania angekuwa polisi.
Nitahakikisha kila kiongozi aliyepita mali zake zinachunguzwa hii ikiwa na familia yake kwa ujumla na ikionekana ni mali ya uma au rushwa basi anafilisiwa na kufikishwa kizimbani kama Mbarak.
Bandari ya mtwara ingekuwa free port kama dubai.
Mapato ya mafuta na gesi ningeyapeleka kwenye sekta za afya, elimu na kilimo which means elimu bure kwa wote, afya bure kwa wote na msaada wa bure kwa wakulima wadogo, kuwe na mtrekta ya serikali kila kijiji kuwalimia bure wasiojiweza.
Wanzafunzi wanakopeshwa wakifika vyuoni ili wajiandae na maisha yao halafu watalipa wakati wanafanya kazi.
W azee wote ningewatunza bure.
Ukianzisha kikundi kama uamsho unakuwa umejitangazia kifo nitahakikisha unapotezwa kikolimba

Haya ni mawazo yangu binafsi wewe je????
Hujasema utapata wapi mitaji ya kututoa hapa tulipo na kutuweka katika mezani nzuri ambapo kila mwananchi atakuwa na uwezo wa kupata angalau mlo wa siku mara tatu.
Hujasema utafanya nini ili kuuza hiyo gesi pamoja na kutoa elimu bure je unauhakika gani wa kupata fedha ambazo zitaweza kutatua matatizo yaliyopo?
 
Kila kukicha asilimia kubwa ya thread zinazoanzishwa hapa ni za kutoridhishwa na utawala uliopo. Sasa mie nimekaa nimefikiri na kujiuliza hivi wewe mlalamikaji kama mimi (mimi pia hulalamikia utawala kwa mambo tofauti) ungekuwa rais ungefanya nini.
Mie binafsi ningeanza na mambo yafuatayo
Mkuu wa polisi ningetafuta dizaini ya MAHITA.
Muungano ningeuvunjilia mbali na wazanzibari wote ningewapa siku saba wawe wamerudi kwao na ningetuma meli na ndege kuwarudisha ndugu zangu bara kutoka zanzibar.
Waziri mkuu wangu angetoka chama cha upinzani ili kuwe na maamuzi ya kukosoana siyo mambo ya ndiyo mzee.
Hukumu ya kifo kwa mafisadi.
Ningeanzisha ile kitu ya tajirika na mrema , yaani ukifichua mabovu ikajulikana ni kweli basi una milioni tano. hii ingefanya wengi waogope kuiba na ujambazi ungepungua sana hata mafisadi wasingeweza kwa sababu kila mtanzania angekuwa polisi.
Nitahakikisha kila kiongozi aliyepita mali zake zinachunguzwa hii ikiwa na familia yake kwa ujumla na ikionekana ni mali ya uma au rushwa basi anafilisiwa na kufikishwa kizimbani kama Mbarak.
Bandari ya mtwara ingekuwa free port kama dubai.
Mapato ya mafuta na gesi ningeyapeleka kwenye sekta za afya, elimu na kilimo which means elimu bure kwa wote, afya bure kwa wote na msaada wa bure kwa wakulima wadogo, kuwe na mtrekta ya serikali kila kijiji kuwalimia bure wasiojiweza.
Wanzafunzi wanakopeshwa wakifika vyuoni ili wajiandae na maisha yao halafu watalipa wakati wanafanya kazi.
W azee wote ningewatunza bure.

Ukianzisha kikundi kama uamsho unakuwa umejitangazia kifo nitahakikisha unapotezwa kikolimba

Haya ni mawazo yangu binafsi wewe je????

Nakupa tano isipokuwa hapo kwa red, unaweza maliza muda wako wa urais (miaka 5) kabla hujatekeleza hayo, labda ulazimishe kukaa madarakani kwa miaka 10 bila uchaguzi
 
2016 tunaitaka Tanganyika yetu. Hata kama tutaendelea kuiita Tanzania siyo mbaya, ilmradi tuachane na kelele za Wanzanzibar
 
Nadhani Tatizo lingine la Viongozi wa Nchi hii ni Vipaumbele.
Kwa nini kama Rais usiwe na Vipaumbele vichache tu kuliko kuwa na vipaumbele vingi wakt mwingine hadi 20?
Ndio maana tutachelewa sana kusogea!..Jipe malengo machache ili na mwingine akija aanzie hapo..kumbuka hata Roma haikujengwa siku moja!
 
kitu cha kwanza ningeleta utulivu ndani ya nchi! .. so ningewashikisha adabu chadema .. na kuwapa ban hakuna ya maandamano ya kipuuzi ndani ya kipindi changu chote! ... tunahitaji wananchi wafanye kazi sio kuwahamasisha siasa za chuki . udini.. ukabila.. ukanda.. na maandamano
 
ningeagiza mali zote zitaifishwe na ziwe chini ya serikari, kisha kuzigawa kwa uwiano kwa watanzania wote.
Mfano kama thamani ya magali yote ingeweza kugawiwa kama baiskeli kwa kila mtanzania ningefanya mgawo huo kwa mambo mengine pia.
Degree za juu zote zingefutwa na wale watakao toa mchango wa ubunifu ndio watatunukiwa hizo shahada sio kwa kuhitimu madarasa.
Kila kijiji kingekuwa na serikari yake ambayo ndiyo ingepanga mipango ya maendeleo tokana na rasilimali.
Vyama vya siasa marufuku.
Raisi angetawala miaka miwili tu.
 
Mimi nitapunguza ukubwa wa baraza la mawaziri kwa kuunganisha baadhi ya wizara km wizara ya mwakyembe na magufuli.kwenye madini mafuta n.k serekali itachukuwa asilimia 40.zanzibar nitaiacha huru vinginevyo wakiendelea kung'ang'ania kuwepo ndani ya tanganyika naifanya kuwa mkoa.kwa sababu nchi huwezi kuongoza peke yako pia kwa ajili ya kupata ushauri kutoka kwa watu mbalimbali.nitakubali kuitwa dhaifu kwa sababu hakuna alie kamilika na hilo litanisaidia kujichunguza udhaifu wangu ili niweze kujisahihisha.
 
Back
Top Bottom