Chilisosi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,051
- 747
Kila kukicha asilimia kubwa ya thread zinazoanzishwa hapa ni za kutoridhishwa na utawala uliopo. Sasa mie nimekaa nimefikiri na kujiuliza hivi wewe mlalamikaji kama mimi (mimi pia hulalamikia utawala kwa mambo tofauti) ungekuwa rais ungefanya nini.
Mie binafsi ningeanza na mambo yafuatayo
Mkuu wa polisi ningetafuta dizaini ya MAHITA.
Muungano ningeuvunjilia mbali na wazanzibari wote ningewapa siku saba wawe wamerudi kwao na ningetuma meli na ndege kuwarudisha ndugu zangu bara kutoka zanzibar.
Waziri mkuu wangu angetoka chama cha upinzani ili kuwe na maamuzi ya kukosoana siyo mambo ya ndiyo mzee.
Hukumu ya kifo kwa mafisadi.
Ningeanzisha ile kitu ya tajirika na mrema , yaani ukifichua mabovu ikajulikana ni kweli basi una milioni tano. hii ingefanya wengi waogope kuiba na ujambazi ungepungua sana hata mafisadi wasingeweza kwa sababu kila mtanzania angekuwa polisi.
Nitahakikisha kila kiongozi aliyepita mali zake zinachunguzwa hii ikiwa na familia yake kwa ujumla na ikionekana ni mali ya uma au rushwa basi anafilisiwa na kufikishwa kizimbani kama Mbarak.
Bandari ya mtwara ingekuwa free port kama dubai.
Mapato ya mafuta na gesi ningeyapeleka kwenye sekta za afya, elimu na kilimo which means elimu bure kwa wote, afya bure kwa wote na msaada wa bure kwa wakulima wadogo, kuwe na mtrekta ya serikali kila kijiji kuwalimia bure wasiojiweza.
Wanzafunzi wanakopeshwa wakifika vyuoni ili wajiandae na maisha yao halafu watalipa wakati wanafanya kazi.
W azee wote ningewatunza bure.
Ukianzisha kikundi kama uamsho unakuwa umejitangazia kifo nitahakikisha unapotezwa kikolimba
Haya ni mawazo yangu binafsi wewe je????
Mie binafsi ningeanza na mambo yafuatayo
Mkuu wa polisi ningetafuta dizaini ya MAHITA.
Muungano ningeuvunjilia mbali na wazanzibari wote ningewapa siku saba wawe wamerudi kwao na ningetuma meli na ndege kuwarudisha ndugu zangu bara kutoka zanzibar.
Waziri mkuu wangu angetoka chama cha upinzani ili kuwe na maamuzi ya kukosoana siyo mambo ya ndiyo mzee.
Hukumu ya kifo kwa mafisadi.
Ningeanzisha ile kitu ya tajirika na mrema , yaani ukifichua mabovu ikajulikana ni kweli basi una milioni tano. hii ingefanya wengi waogope kuiba na ujambazi ungepungua sana hata mafisadi wasingeweza kwa sababu kila mtanzania angekuwa polisi.
Nitahakikisha kila kiongozi aliyepita mali zake zinachunguzwa hii ikiwa na familia yake kwa ujumla na ikionekana ni mali ya uma au rushwa basi anafilisiwa na kufikishwa kizimbani kama Mbarak.
Bandari ya mtwara ingekuwa free port kama dubai.
Mapato ya mafuta na gesi ningeyapeleka kwenye sekta za afya, elimu na kilimo which means elimu bure kwa wote, afya bure kwa wote na msaada wa bure kwa wakulima wadogo, kuwe na mtrekta ya serikali kila kijiji kuwalimia bure wasiojiweza.
Wanzafunzi wanakopeshwa wakifika vyuoni ili wajiandae na maisha yao halafu watalipa wakati wanafanya kazi.
W azee wote ningewatunza bure.
Ukianzisha kikundi kama uamsho unakuwa umejitangazia kifo nitahakikisha unapotezwa kikolimba
Haya ni mawazo yangu binafsi wewe je????