Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Wapendwa katika bwana
mnamo tar 6january 2011 bibi yangu alikatwa mguu pale aghakan hosptital
kwa mapenzi a mungu nilibahatika kumnunulia wheelchair ya kusukumwa ni nzuri
mpya nilichukua pale posta
kwa mapenzi ya mungu hayo hayo mungu alimtwaa bibi yangu kipenzi luise mneney julai
2013 kwa mnaokumbuka nilikuja kuomba maombi yenu hapa akiwa hoi
imenipendeza kushukuru kwa kila jambo maana mungu ndie anaetoa na ndie anachukua
basi ni vyema kuna mhitaji na nimeona kutoa baraka zangu kwa yule mwana jf anaeitaji wheelchair
ipo moja na mungu atuongoze pale kwenye kutoa ndugu..kuna wahitaji wengi sana ni wakati muafaka kusaidia si hivi tu hata chochote ulichonacho unahisi kumbariki mtu ...unaruhusiwa kuniunga mkono kuweka hapa na amini wapo wahitaji watakuja hapa na mungu atakubariki
naomba ni pm
mnamo tar 6january 2011 bibi yangu alikatwa mguu pale aghakan hosptital
kwa mapenzi a mungu nilibahatika kumnunulia wheelchair ya kusukumwa ni nzuri
mpya nilichukua pale posta
kwa mapenzi ya mungu hayo hayo mungu alimtwaa bibi yangu kipenzi luise mneney julai
2013 kwa mnaokumbuka nilikuja kuomba maombi yenu hapa akiwa hoi
imenipendeza kushukuru kwa kila jambo maana mungu ndie anaetoa na ndie anachukua
basi ni vyema kuna mhitaji na nimeona kutoa baraka zangu kwa yule mwana jf anaeitaji wheelchair
ipo moja na mungu atuongoze pale kwenye kutoa ndugu..kuna wahitaji wengi sana ni wakati muafaka kusaidia si hivi tu hata chochote ulichonacho unahisi kumbariki mtu ...unaruhusiwa kuniunga mkono kuweka hapa na amini wapo wahitaji watakuja hapa na mungu atakubariki
naomba ni pm