Mwana JF maarufu ni yupi?

Saveya

JF-Expert Member
Aug 18, 2019
2,299
2,235
Wana chitchat, karibuni kwenye shindano la kumpata Mwana jf ambaye ni maarufu, napendekeza majina haya yaingie kwenye mzunguko wa kwanza ambayo, baadae yatapigiwa kura
1.pascal mayalla
2.Mshana jr
3.BAK
4.YEHODAYA
5.BARBAROSA
6.SHUNIE
7.MISS NATAFUTA
8.EVELYNE SALT
9.JOSE EVEREST
10.LARA 1
11.PETRO MSELEWA

Kama kuna jina nimelisahau, litajeni lishindanishwe !
Karibuni
 
Naungana na wewe kama kura inaenda kwa mganga majukwaa yote utamkuta kaandika na thread zake nyingi ni useful mfano mmu ile post ya malezi ya watoto, zingine za kuchangamsha kama ile ya walipa kodi ipo habari na hoja mchanganyiko, huyu mganga anacover sehemu nyingi wengine utawakuta maarufu jukwaa letu pendwa lile la chini kabisa, shogangu Shunie yeye maarufu mmu.
Mshana Jr hao wengine unawajua wewe..
 
Wana chitchat, karibuni kwenye shindano la kumpata Mwana jf ambaye ni maarufu, napendekeza majina haya yaingie kwenye mzunguko wa kwanza ambayo, baadae yatapigiwa kura
1.pascal mayalla
2.Mshana jr
3.BAK
4.YEHODAYA
5.BARBAROSA
6.SHUNIE
7.MISS NATAFUTA
8.EVELYNE SALT
9.JOSE EVEREST
10.LARA 1
11.PETRO MSELEWA

Kama kuna jina nimelisahau, litajeni lishindanishwe !
Karibuni
Hance Mtanashati
 
Wana chitchat, karibuni kwenye shindano la kumpata Mwana jf ambaye ni maarufu, napendekeza majina haya yaingie kwenye mzunguko wa kwanza ambayo, baadae yatapigiwa kura
1.pascal mayalla
2.Mshana jr
3.BAK
4.YEHODAYA
5.BARBAROSA
6.SHUNIE
7.MISS NATAFUTA
8.EVELYNE SALT
9.JOSE EVEREST
10.LARA 1
11.PETRO MSELEWA

Kama kuna jina nimelisahau, litajeni lishindanishwe !
Karibuni
Kila jukwaa lina alwatan wake.
Alwatan wa MMU ni Zero IQ
 
Wana chitchat, karibuni kwenye shindano la kumpata Mwana jf ambaye ni maarufu, napendekeza majina haya yaingie kwenye mzunguko wa kwanza ambayo, baadae yatapigiwa kura
1.pascal mayalla
2.Mshana jr
3.BAK
4.YEHODAYA
5.BARBAROSA
6.SHUNIE
7.MISS NATAFUTA
8.EVELYNE SALT
9.JOSE EVEREST
10.LARA 1
11.PETRO MSELEWA

Kama kuna jina nimelisahau, litajeni lishindanishwe !
Karibuni
Joseverest yupo kujiandaa na sup
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom