Husika na kichwa cha habari hapo juu, je mwana jf umeshawahi kumwombea shetani? au huwa unamkemea, kwa yale mabaya anayokucause uyafanye? na je nikuulize swali mwana jf hivi unadhani ukitenda mambo yasiyompendeza mungu je shetani hufurahi au hukasirika? nakaribisha maswali na michango,,,, sorce kitabu kinaitwa the power of satan!