50thebe
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 3,875
- 3,730
Ndo ulie muoa?nilimkabidhi mtu, bahasha hiyo hivyo ilivyo, hivyo kuwa mtangazaji mpya wa kwanza aliye ...mshahara wake wote shauri ya kupenda!
Huhitaji kutunga uongo kama huu, toa hoja tu kama kweli unayoNimethibitisha Leo kwenye Kituo nilichokuwa napigia kura wakala wa chadema alipotakiwa apige kura akasema yeye hapigi kura hajajiandikisha.
Dhahiri CCM inashinda kwa kishindo kizito.
Mi nimepapenda hapo kwenye mshahara wa 1M mwaka 95..
Noma noma.
Kwann hujawa mfanya biashara mkubwa leo hii??!😑
Yeye mwenyewe anajua ukweli sema njaa na umasikini vinamsumbuaCV yako haiondoi ukweli kuwa uko biased!
Isitoshe,hatuna chombo huru cha kusimamia na kuendesha uchaguzi ulio huru na wa haki hivyo huna uhalali wa kusema kuwa CCM atashinda.
Kazi yako kubwa hapa JF ni kufanya propaganda kwa lengo la kutaka kuwaaminisha watu(kuwaanda kisaikolojia) kuwa CCM itashinda kihalali wakati ukweli unaujua.
Mtu anayeogopa ushindani ndani ya chama chake ndio unakuja kutuambia atashinda?
Amekuwa mtu wa hovyo kabisaAcha bangi mzee wewe
Ndiyo kazi aliyopewa ya kutetea ujingaKwa uchafu huu wa kuzuia na kuwaweka rumande mawakala wa upinzani utaachaje kushinda?
Lakini huo ndiyo unauita ushindi? Unachekesha Pasko
Huyo nae ni mtu wa ovyoCV yako haiondoi ukweli kuwa uko biased!
Isitoshe,hatuna chombo huru cha kusimamia na kuendesha uchaguzi ulio huru na wa haki hivyo huna uhalali wa kusema kuwa CCM atashinda.
Kazi yako kubwa hapa JF ni kufanya propaganda kwa lengo la kutaka kuwaaminisha watu(kuwaanda kisaikolojia) kuwa CCM itashinda kihalali wakati ukweli unaujua.
Mtu anayeogopa ushindani ndani ya chama chake ndio unakuja kutuambia atashinda?
Daaa nimecheka sana ,, sijawahi wapenda hao watu ... sipendi mapolisi sana