SHIEKA JF-Expert Member Dec 20, 2011 8,244 4,258 May 24, 2014 #1 Mwana JF mmoja anaomba aelezwe maana ya ban kwa sababu anasikia watu wakitaja sana mambo ya ban. Msome HAPA
Mwana JF mmoja anaomba aelezwe maana ya ban kwa sababu anasikia watu wakitaja sana mambo ya ban. Msome HAPA
janeth1 JF-Expert Member Apr 4, 2014 2,151 768 May 24, 2014 #2 ngoja waMBAN kwanza atajua tu! Hahahaaa utani.
Kiraka Kikuu JF-Expert Member Oct 3, 2011 5,904 1,976 May 24, 2014 #3 Mh!!! mbona ni kama ID yako mwenyewe SHIEKA? Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
SHIEKA JF-Expert Member Dec 20, 2011 8,244 4,258 May 25, 2014 Thread starter #4 Myakubanga said: Mh!!! mbona ni kama ID yako mwenyewe SHIEKA? Click to expand... Nyakubanga sikuelewi! ID ya aliyeuliza ban ni 1gb. Au unataka kuniambia kwamba nina Id mbili? Sina Id mbili. Ninayo moja tu, SHIEKA
Myakubanga said: Mh!!! mbona ni kama ID yako mwenyewe SHIEKA? Click to expand... Nyakubanga sikuelewi! ID ya aliyeuliza ban ni 1gb. Au unataka kuniambia kwamba nina Id mbili? Sina Id mbili. Ninayo moja tu, SHIEKA