..hongera sana Mzee Shughuli Bwana.
NB:
..hii tabia ya kuwa na matawi ya vyama vya siasa ughaibuni imeanza na CUF.
hata kama imeanzwa na cuf au ccm ni tabia ya kujikomba, mwanaiidi sinare ni mtu wakujikomba kwa kikwete, lakini ajue kuwa watanzania wote walioko uingereza hata kama watakipigia ccm kura hakiwezi kuwa na effect hata ya kunyakua nyumba kumi, hali kadhalika na cuf. tuwe kama wayahudi yaani waisraeli,ifike mahali TUSEME HILI NI TAIFA LANGU, AU UTAIFA WANGU KWANZA,UCHAMA BAADAYE