Mkuu mwanaume uliyefiwa pole sana kwa msiba, mwenyezi mungu awajaalie nguvu na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu. Mwenyezi Mungu ailaze pema roho ya marehemu, Amen.
Habari ya Msiba wa Dada yetu "imenishtua mno". Mkuu uliyefiwa na mke, Nakutakia Ujasiri na Uvumilivu katika kipindi hichi kigumu...Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Marehemu mahala pema peponi. Hekima na Busara za Marehemu zitazidi kutukuzwa,Mchango wake kwenye mapambano haya ya kifikra na uendelezwe.Hauko peke yako, Msiba huu ni wa Familia nzima ya JF.Sala na Maombi yetu yako pamoja nawe. Amen.
Mkuu uliyepoteza mke, Tuko nawe katika kipindi hiki kigumu. Mawazo na dua zetu ziko kwako na familia yako, tukiomba Rabuka Mtukuka akupe nguvu ya kuendelea. Kaa na kumbukumbu nzuri za marehemu, tutamkosa sana hapa jamvini.
Wasalaam,
Mpanda Merikebu
Pole sana kwa kumpotea mwenza. Nakuombea rehema za Mungu na amani yake ziwe pamoja nawe.
O day full of grace, which we behold,
to us from the sea ascending;
you over the earth your reign unfold,
good cheer to all mortals lending,
that children of light in every clime
may prove that the night is ending!
How blest was that gracious midnight hour,
when Christ in the flesh was given;
then flushed from the east the dawn with pow'r,
that spread o'er the darkened heaven;
then rose o'er the world that sun divine
which gloom from our hearts has driven.
Were all of the trees endowed with speech,
were all of the leaflets singing,
they never with praise His worth could reach,
though earth with their praise were ringing.
Who fully could praise the Light of Life,
who light to our souls is bringing?
As birds in the morning sing God's praise,
His fatherly love we cherish,
for giving to us this day of grace,
for life that shall never perish.
His Church He has kept these thousand years,
and hungering souls did nourish. With joy we approach our Father's land,
where day is forever dwelling,
where ready for us His mansions stand,
where heaven with praise is swelling;
and there we shall walk in endless light,
with blest ones His praise forth telling
poleni sana wafiwa (mme, watoto, ndugu, jamaa na marafiki wote) kama tulikuwa na tofauti zozote basi hakika tumemalizana maananajua zaidi kwamba tofauti za JF ni tofauti za kidunia, hivyo kama ulinikosea NAKUSAMEHE na kama nilikukosea naomba unisamehe.
Pole sana mwenzetu kwa kuondokewa na kipenzi cha roho yako. Tunamuomba Mwenyezi Mungu awapeni subira na faraja wewe na wafiwa wengine katika kipindi hiki cha msiba mkubwa pia ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi~AMEN
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.