Mwana-CCM mwingine amvaa Rais Mwinyi, amshutumu kukodisha visiwa na kukosa uhalali kwakuwa hakuchaguliwa bali kateuliwa tu

silent lion

JF-Expert Member
Feb 28, 2012
1,161
1,536
Si mwengine ni Balozi Ali Karume, mtoto wa Rais wa kwanza wa Zanzibar. Amekosoa vikali mambo yafuatayo:

1. Kukodishwa kiholela kwa visiwa tena kwa bei cheee ambayo ni dola laki moja tu kwa mwaka.

2. Kupinga uvunjwaji wa nyumba za kilimani.

3. Amemshutumu Mwinyi kukosa uzoefu wa mambo ya kiuchumu, kwa vile yeye ni daktari na sio mchumi.

4. Amekosoa kitendo cha Mwinyi kuteuliwa na mtu mmoja tu ambae keshakufa.

Nb. Hii ni mara ya pili kwa mwinyi kukosolewa na wanaccm wenzake. Kawaida Rais hukosolewa na wapinzani, kitendo cha wana-CCM kumkosoa tena hadharani ni jambo la kushangaza sana.

Maoni yangu MWINYI ajitathmini sana na sera zake kwani inaonekana zimefeli kwani kila kukicha Zanzibar kodi zinapandishwa, kuzorota kwa bandari, mji kuwa mchafu kupindukia, barabara kujaa mashimo na mavumbi na pia kukosa kwa focus kwani anataka kufix kila kitu bila kua na rasilimali na katika muda mchache jambo linalopelekea ugumu wa maisha kuzidi Zanzibar licha ya kuahidi neeema tupu.
 
Inabidi ashirikiane na Wananchi, wadau mbalimbali wa maendeleo , Katika sera za kiuchumi. Kuwa kiongozi mkuu aimaanishi kuwa na jeuri, ajifunze Kwa shein.
 
Mmeanza kama mlivyoanza kwa Magufuli, na sasa nchi ineoza!

FB_IMG_1680900938551.jpg
 
Si mwengine ni Balozi Ali Karume, mtoto wa Rais wa kwanza wa Zanzibar. Amekosoa vikali mambo yafuatayo
1. Kukodishwa kiholela kwa visiwa tena kwa bei cheee ambayo ni dola laki moja tu kwa mwaka.

2. Kupinga uvunjwaji wa nyumba za kilimani.

3. Amemshutumu Mwinyi kukosa uzoefu wa mambo ya kiuchumu, kwa vile yeye ni daktari na sio mchumi.

4. Amekosoa kitendo cha Mwinyi kuteuliwa na mtu mmoja tu ambae keshakufa .

Nb. Hii ni mara ya pili kwa mwinyi kukosolewa na wanaccm wenzake. Kawaida Rais hukosolewa na wapinzani , kitendo cha wanaccm kumkosoa tena hadharani ni jambo la kushangaza sana.

Maoni yangu MWINYI ajitathmini sana na sera zake kwani inaonekana zimefeli kwani kila kukicha Zanzibar kodi zinapandishwa, kuzorota kwa bandari, mji kuwa mchafu kupindukia, barabara kujaa mashimo na mavumbi na pia kukosa kwa focus kwani anataka kufix kila kitu bila kua na rasilimali na katika muda mchache jambo linalopelekea ugumu wa maisha kuzidi Zanzibar licha ya kuahidi neeema tupu!!!!
Hao wametumwa, uzuri Mwinyi keshakwiva na anajua kudeal nao. Wakiendelea watamjua vizuri.
 
Waje kumchukuwa mam Yao huku ss tubaki na mwinyi wetu.

Ila ingawa mwinyi nae amezidi Sana kuuza sura kwa tv Ila Hali ya majsha ya wananchi Ni ngumu mno.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ha ha haa. Kweli , neema analeta Mungu tu.

Dr. Hussein Mwinyi is by far the best compared to Balozi Ali Karume, yaani incomparable, Dr. Hussein Mwinyi ni Rais kweli kweli na mchapa kazi haswa kwa vitendo, Ali Karume is just a fellas with mustache with less discipline kwa viongozi wengi anawadharau publicly, Balozi Ali Karume hata Mama Samia alishamdharau vibaya wakiwa Zanzibar, Ali Karume hana adabu kabisa, that is what i know..!!
 
Maoni yangu MWINYI ajitathmini sana na sera zake kwani inaonekana zimefeli kwani kila kukicha Zanzibar kodi zinapandishwa, kuzorota kwa bandari, mji kuwa mchafu kupindukia, barabara kujaa mashimo na mavumbi na pia kukosa kwa focus kwani anataka kufix kila kitu bila kua na rasilimali na katika muda mchache jambo linalopelekea ugumu wa maisha kuzidi Zanzibar licha ya kuahidi neeema tupu!!!!
Kumekucha
 
Binadamu tuna maneno sana, na mengine hayana tija kabisa. Asipo onekana mtasema tena kuwa anajificha.

Mnataka aongozaje bila kuonekana!?
Tunacholalamika ni ugumu wa maisha na kodi kupanda kila kukicha, huku bandari ikizorota licha ya Mwinyi kusema kua mapato yameongezeka maradufu
 
Tunacholalamika ni ugumu wa maisha na kodi kupanda kila kukicha, huku bandari ikizorota licha ya Mwinyi kusema kua mapato yameongezeka maradufu
Sawa hilo limesikika vyema. Ila Kuna huyo anayesema Dr. Mwinyi anauza sura sana kwenye luninga. Na ndio maana nikamuuliza anataka aongoze kwa njia ipi bila ya kuonekana?
 
Si mwengine ni Balozi Ali Karume, mtoto wa Rais wa kwanza wa Zanzibar. Amekosoa vikali mambo yafuatayo
1. Kukodishwa kiholela kwa visiwa tena kwa bei cheee ambayo ni dola laki moja tu kwa mwaka.

2. Kupinga uvunjwaji wa nyumba za kilimani.

3. Amemshutumu Mwinyi kukosa uzoefu wa mambo ya kiuchumu, kwa vile yeye ni daktari na sio mchumi.

4. Amekosoa kitendo cha Mwinyi kuteuliwa na mtu mmoja tu ambae keshakufa .

Nb. Hii ni mara ya pili kwa mwinyi kukosolewa na wanaccm wenzake. Kawaida Rais hukosolewa na wapinzani , kitendo cha wanaccm kumkosoa tena hadharani ni jambo la kushangaza sana.

Maoni yangu MWINYI ajitathmini sana na sera zake kwani inaonekana zimefeli kwani kila kukicha Zanzibar kodi zinapandishwa, kuzorota kwa bandari, mji kuwa mchafu kupindukia, barabara kujaa mashimo na mavumbi na pia kukosa kwa focus kwani anataka kufix kila kitu bila kua na rasilimali na katika muda mchache jambo linalopelekea ugumu wa maisha kuzidi Zanzibar licha ya kuahidi neeema tupu!!!!
Mkosoaji ni mjinga -
(a). MTU mmoja aweza kuteua?
(b). Urais unasomewa? Awe Dkt, Mkulima, Dereva, MC sifa zikikidhi aweza kuwa,
(c). Visiwa kabla ya kukodishwa watu walitangaziwa wajitokeze lkn hakuna alojitokeza,
(d). Nyumba zinabomolewa sbb zimejengwa kwenye hifadhi ya barabara na fukwe
 
Hizi mada za Mwinyi zinaminywa kiaina, Kuna wajinga wanadhani atakuwa Rais wa JMT, eti wanamlinda asichafuke, na yeye anajitahidi aonekane kama JPM, mwache aje tumuonyeshe
 
Ali Karume kagombea sana nafasi ya urais na wanamtosa mara zote.

Hana hata sifa ya kuwa Raila Odinga.
 
Tunacholalamika ni ugumu wa maisha na kodi kupanda kila kukicha, huku bandari ikizorota licha ya Mwinyi kusema kua mapato yameongezeka maradufu
Tatizo sisi wazanzibar wengi ni wavivu sana. Nakushauri hayo maneno ya wanasiasa usiyabebe wewe, mwanasiasa anapoongea ujue yeye ana jambo lake la kisiasa. Sasa na nyie sababu ya uvivu basi mnataka kila kitu bwerere tu.
Mbona hamlalamiki mnapokwenda nchi za watu hasa Uingereza ambapo kila kitu ni kodi l, tena huduma zingine kodi ni juu sana. Halafu mnaporudi mnasifia Maendeleo ya hizo nchi bila kujua kuwa zinaendeshwa na kodi, tena zimeanza karne na karne.

Mnawaza Ulojo tu, Fanyeni kazi nyie.

Rais Mwinyi endelea kubadili mazoea ya uvivu wa zanzibar na kujidekeza kupewa vya bure., na mtu mvivu siku zote hupiga majungu saaaaaana, yaani yeye kiungo anachokitumia zaidi ni Mdomo
 
Back
Top Bottom