Mwamvita Makamba atapeliwa na Sheria Ngowi

Wakati Mwamvita alipokua akitoka na Ngowi, pale pembeni Bi dada alikua na mpango wa kando unao zungumza kwa lugha ya bepari.
Baada ya pale, Mwamvi na fundi cherehani wakaingia kwenye vuvaaaaa kubwaaaa.....
Mwisho wa siku Ngowi alishindwa nguvu na mwenye ngozi nyeupe, kisha fundi akavuta nguvu kwa Bidada.
Ebu ngoja nianzie mwisho wa ubuyu......
Baada ya Fundi kuvuta mkwanja kwa jina la mkopo toka kwa binti Makamba, pale ndipo ugomvi ulipo vuma kwa kijana kugoma kurejesha nguvu ndefu kwa Mwamvita.
Ebu ngoja nisubiri maswali...
Hahahahahaha mkuu nimekubamba hua unawasema wanaume wa Dar kumbe na wewe ndiyo zako hizi.
 
Mwamvita na yeye anataka kuanza uswahili sasa..kama alimtapeli kwanini asiende mahakamani?!
.
Sikutegemea kwa mdada msomi kama yule kugeuza Social Networks kuwa ndio sehemu ya kutatua matatizo yake...
Mwamvita nakukubali sana kwa kazi zako,haya madrama ya kulalamika lalamika kwenye mitandao waachie Wema na Zari

Kama Sheria amekutapeli basi take him to the court!!na pesa ya kulipa mwanasheria yeyote yule unayo,sasa kwanini kwenye mitandao ya kijamii?!..
 
Kama katapeliwa ampeleke mahakamani huku kwenye social media hakuna atakacho kipata zaidi kujichoresha tu!
 
Bongo shida kupata partner ...akawa mwaminifu
Wayu wameliwa kila sehemu....
 
Mapenzi/Mahusiano ni kama chuo/darasa, unapata mengi ya kujifunza toka
kwa mwenzako uliyenaye kwenye huo uhusiano. Mnaweza achana kwa makubaliano mazuri au kwa vurugu na dharau pamoja na kejeli kibao.

Hutokea mara nyingi mmoja wenu akarudi kama rafiki mwema aliyebadilika na kuhitaji nafasi ya pili ya mahusiano/mapenzi tafadhali usikurupuke kuingia katika mtego huo.

Unaweza kuhatarisha afya yako bila kujua.Baadhi ya wanaorejea na kuomba mrudiane wanakuwa na agenda za siri kama hizi

1- Kule alikoenda aliyempata kashindwa kufikia vigezo vya ubora ulivyonavyo wewe ndo maana karudi mazingira yamemrudisha kwako vinginevyo asingerudi, sio upendo.


2- Anaweza kuwa na kinyongo moyoni nawewe kwa namna uliyomuacha sasa anataka kulipa kisasi kwa gharama yoyote,sio lazima atoe uhai wako katika hili.

3- Maisha yamemshinda yamekuwa ni kinyume na matarajio yake, angefanikiwa asingerudi, akirudi huyu lazima akufilisi akirudi kwako.


4- Wako wanaorudi kujaribu hana nia ya dhati,lolote litakalokuwa liwe,mtu wa aina hii, ataishia kukupotezea mda na raslimali zako.

5 - Wako wanaorudi huku bado wanamahusiano waliyoyaanzisha baada ya kuachana nawewe awali utashangaa mwanamke/mwanaume ana stress za mapenzi mda mwingi chanzo kumbe ni kule alikotoka bado yuko naye.


Ni hayo kwa leo, bado maamuzi ni yako kwani maswala ya mapenzi ni vigumu kumwamulia mtu, unampa ushauri kutokana na uzoefu ambao nao hauna kanuni, unatofautiana baina ya mtu na mtu.

Inakuaje wanaJF,

Katika pitapita zangu Twitter nimekumbana na Tweet moja ya Mwanadada Mwamvita Makamba akidai yeye kama Mwekezaji binafsi katika tasnia ya Fashion ametapeliwa na Mbunifu wa Suti matata Bwana Sheria Ngowi.


Hapo alikuwa akimpa taarifa jamaa anayeendesha kipindi kipya mjini cha Papo Kwa Papo na Papi kinachoruka kila jumatano saa 3 kamili usiku kupitia YouTube na kinakuwa Mubashara.
 
Back
Top Bottom