OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,080
- 103,308
My Take
Hii adhabu haitoshi na haimalizi tatizo la waamuzi. Adhabu sahihi ni kumpokonya leseni arudi kijijini akalime. Halafu yule mwamuzi Shomari Lawi aliyeshirikiana na Yanga kuihujumu Kagera Sugar mnasubiri nini? Huyu apelekwe Takukuru moja kwa moja na afungiwe maisha.
Msipofanya hivyo tutawafungia nyinyi wenyewe TFF