Mwamuzi aliyechezesha mpira kati ya Simba na JKT Ruvu ni vema afungiwe

Koryo2

JF-Expert Member
Nov 28, 2016
2,056
2,515
Nimefuatilia mchezo wa leo kati ya Simba na JKT Ruvu kwa kweli LAWAMA zielekezwe kwa mwamuzi aliyechezesha mpira wa leo. Dhahiri amemwona mlinda mlango kaumia na hayupo golini na yeye mwamuzi kushuhudia kuwa ameumia bado anaendelea kuchezesha mpira. Ndugu Mailnzi ukae na jopolako na huyu mwamuzi asimamishwe mara moja na pointi zote tatu za Simba zifutwe. Hatuwezi kuwavumilia Waamuzi wenye uamuzi wa upendeleo.
 
Makipa wa Tanzania wanakera na tabia yao ya kujiangusha makusudi ili kupoteza muda.

Hii imepelelea kutokuwepo issue za fair play kwa kuwa wao hawako fair.

Simba ndiyo walikuwa na mpira, na uamuzi wa kuutoa nje ulikuwa wao
... ILA kwa tabia hizi za makipa bora hawakucheza hiyo fair play.
 
Makipa wa Tanzania wanakera na tabia yao ya kujiangusha makusudi ili kupoteza muda.

Hii imepelelea kutokuwepo issue za fair play kwa kuwa wao hawako fair.

Simba ndiyo walikuwa na mpira, na uamuzi wa kuutoa nje ulikuwa wao
... ILA kwa tabia hizi za makipa bora hawakucheza hiyo fair play.
Kipa kipind cha kwanza kajiangusha mara mbili, kwa muda mrefu anagala gala kama choko ivi mara nikashangaa eti wakaongeza dk tatu tu
 
Nimefuatilia mchezo wa leo kati ya Simba na JKT Ruvu kwa kweli LAWAMA zielekezwe kwa mwamuzi aliyechezesha mpira wa leo. Dhahiri amemwona mlinda mlango kaumia na hayupo golini na yeye mwamuzi kushuhudia kuwa ameumia bado anaendelea kuchezesha mpira. Ndugu Mailnzi ukae na jopolako na huyu mwamuzi asimamishwe mara moja na pointi zote tatu za Simba zifutwe. Hatuwezi kuwavumilia Waamuzi wenye uamuzi wa upendeleo.
Hakuna choo karibu ?
 
Nimefuatilia mchezo wa leo kati ya Simba na JKT Ruvu kwa kweli LAWAMA zielekezwe kwa mwamuzi aliyechezesha mpira wa leo. Dhahiri amemwona mlinda mlango kaumia na hayupo golini na yeye mwamuzi kushuhudia kuwa ameumia bado anaendelea kuchezesha mpira. Ndugu Mailnzi ukae na jopolako na huyu mwamuzi asimamishwe mara moja na pointi zote tatu za Simba zifutwe. Hatuwezi kuwavumilia Waamuzi wenye uamuzi wa upendeleo.
Ndala hawana pesa ya mishahara wanechanganyikiwa
 
Nimefuatilia mchezo wa leo kati ya Simba na JKT Ruvu kwa kweli LAWAMA zielekezwe kwa mwamuzi aliyechezesha mpira wa leo. Dhahiri amemwona mlinda mlango kaumia na hayupo golini na yeye mwamuzi kushuhudia kuwa ameumia bado anaendelea kuchezesha mpira. Ndugu Mailnzi ukae na jopolako na huyu mwamuzi asimamishwe mara moja na pointi zote tatu za Simba zifutwe. Hatuwezi kuwavumilia Waamuzi wenye uamuzi wa upendeleo.
Pole Sana mkuu!!pole aisee
 
Afungiwe kwa lipi? Baada ya kuzidiwa kipa analala hali ya kuwa yeye ndiye karuka ovyo juu ya mgongo wa mtu! Hivi yule jamaa wa Lyon alietandikwa daruga ndani ya 18,unasemaje.Mara nyingine mpunguze malalamiko.
 
Back
Top Bottom