changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 5,580
- 9,166
Yaani redi kadi moja na penati moja mmeumia kiasi hiki, mmesahau timu ya simba imepata penati mbili, na mechi tatu wamecheza na timu zilizopewa kadi nyekundu. Nyie kwenu ishakuwa fasheniWanatamba wana timu nzuri ila Wananunua marefa