Mwamuzi aliyechezesha mechi ya Yanga na Ruvu leo kama hajapewa hongo basi mechi ilimshinda

Ummmmh,hatari hebu rudia ulichoandija,bandugu.
Wewe ni mpumbavu, Kama ujui sheria za mpira usiwe unapuyanga utafikili umekatika kichwa, yule mchezaji aliyemchezea rafu mayele ndo alikuwa wa mwisho ivyo alimzuia mayele kufunga goli kwa maana iyo ilikuwa penalt halali isiyokuwa na chembe ya ukakasi
 
Maelezo ya kweny penart ndo ntakujua kuwa upo upande gan
Kwenye hakukuwa na penati kwasababu kwenye marudio hauoni mchezaji akishika mpira. Lakini sisi tumeweza kulijua hilo kwasababu tunaweza kujiridhisha kupitia replay za Azam tv tofauti na waamuzi wakuwapo uwanjani
 
Red card imetolewa kwa sheria kwamba mchezaji wa mwisho ukimkata ni straight red, penalty jamaa alishika au labda kama sheria mpya zinaruhusu beki kushika, c unajua Corona imeathiri ufanisi wa miguu.
Kwenye penart alieshka ni Mayele,heb angalia vzur highlight mkuu
 
Kila timu itakayocheza na Yanga msimu huu lazima iseme imeonewa mana Yanga inakulazimisha kufanya makosa, ni kama Barca ya Pep ilikuwa inaonekana inabebwa kila mechi kumbe kiwango kilikuwa kikubwa mno. Pasi 20 wapinzani hawajagusa mpira si mchezo mzee, nasema hakuna timu hapa East Africa imewahi kupiga mpira kama Yanga ya sasa nasisitiza HAKUNA.
Hiv uzur wa Yanga uko wap ?? Ina record gn kimataifa Kama kwel ni tim nzur?? Kubebwabebwa kunawapumbaza Sana ndo maana kimataifa mnapgwa mbele na nyuma
 
Hiv uzur wa Yanga uko wap ?? Ina record gn kimataifa Kama kwel ni tim nzur?? Kubebwabebwa kunawapumbaza Sana ndo maana kimataifa mnapgwa mbele na nyuma
Umeongea kwa uchungu sn, ila haitabadili ukweli kwamba Yanga ndio timu bora kwa sasa Afrika mashariki na kati.
 
Kwenye hakukuwa na penati kwasababu kwenye marudio hauoni mchezaji akishika mpira. Lakini sisi tumeweza kulijua hilo kwasababu tunaweza kujiridhisha kupitia replay za Azam tv tofauti na waamuzi wakuwapo uwanjani
Nmekupata,ingawa unaogopa kueleza ukweli zaid
 
Wewe ni mpumbavu, Kama ujui sheria za mpira usiwe unapuyanga utafikili umekatika kichwa, yule mchezaji aliyemchezea rafu mayele ndo alikuwa wa mwisho ivyo alimzuia mayele kufunga goli kwa maana iyo ilikuwa penalt halali isiyokuwa na chembe ya ukakasi
....wala usimjibu huyo, hajui sheria inasemaje kwa mchezaji anayemwamgusha mwenzie na akiwa wa mwisho..
Mikia badala ya kuandaa timu, wanakesha kufuatilia YANGA..Kila mtu ashinde mechi zake wajameni
 
Nmekupata,ingawa unaogopa kueleza ukweli zaid
Ukweli zaidi ni upi? Hao wazungu pamoja ya kuwa bright na wao ndio watungaji wa sheria lakini wameweka V A R kwasababu huwezi kuonana kila kitu kwa ufasaha uwanjani. Refarii ni binadamu. Na timu yoyote inaweza kuwa favoured na mamuzi ya refarii. Ila upande wa kadi nyekundu yule mchezaji alikuwa ni mtu wa mwisho je kwanini wewe unasema alistahili njano?
 
Ukweli usemwe Yanga hii inacheza vzr ni vigum wapinzan kuwazuia Yanga dakika 90 uwanjani ni lzm utacheza mistake ambazo zitakuhukumu tu.
Ile kadi ni sahihi kabisa mtu wamwisho kachezewa rafu.
ile ya Sonzo kwanza kamchezea faulo Mayele pili ule mpira kaushika.
Timu siku zote ikiwa vzr yn utaona tu inashinda kila mechi kimaajabu ajabu mfano mzuri Chelsea sa hv timu yoyote nzuri utajikuta tu umefugwa
 
Back
Top Bottom