Mwamtafuta Mchungaji? Ni Mimi...

Rev. Kishoka

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
4,526
1,529
Nimekuwa napokea subliminal messages kwa muda mrefu, makombora kwa muda mrefu watu wakihoji huyu Mchungaji ni nani, anajua nini, anapata wapi habari zake, lengo lake ni nini, anakaa wapi, anamipango gani ya baadaye kugombea na mengine mengi.

Basi nawarahisishia msiendelee kupasuka mishipa na kukosa usingizi, iwe ni nyie Mafisadi na Vibaraka wao, UWT, Vyama vya Siasa au wengine wachangiaji humu jukwaani.

Mimi ni Raia, Mzalendo, Mwananchi wa Tanzania. Nawasilisha nafasi ya Mtanzania aliyeko Kasulu, Mpanda, Geita, Micheweni, Mbinga, Mafia, Arusha Mjini, London, Washington, Dubai, Pretoria na sehemu nyingine nyingi.

Kama mwakilishi wa Wananchi hawa, nafanya kazi yangu kwa mapenzi ya nchi yangu, ni wajibu wangu, ni kiapo changu kulitumikia Taifa langu, kwa manufaa ya Taifa na Wananchi wake.

Mwaniogopea nini, wakati mimi ni mtu wa kawaida tuu?

Ni mwiba katika ngozi zenu, nondo inayokomaza zege la Taifa, Kungwi kwa chipukizi kama Jmushi, Swahiba kwa wazee kama Kibunango.

Makao yangu ni mtaani, kijiweni, magazetini, sehemu ambako mwananchi anakaa, mahali ambako mwananchi hulia kilio cha Uzazi, kwenye Rubisi, Chipsi Dume, Msokoto, Slipuwei, hata kwenye vikao vyenu vya Siri!

Sasa najiuliza mwanitafuta kwa shauri gani ikiwa in Raia wa Kawaida? NImefanya nini kilichozua shauku lenu kujua Mchungaji ni nani?

Upevu na Upeo wa mawazo asili na msingi wake ni Kifimbo, kisha machungu ya maisha na kuwa mkweli kwa nafsi yakafuatia. Wepesi wa kuunganisha nukta kwa kutazama kile kile tunachotazama wote, ni Baraka za Mungu, sina Dataz wala kianzio cha Dataz kama Mzee mwenzangu Kamanda Mkuu.

Je mwataka niwafundishe kazi haswa nyie wa Umoja wa Waangalizi? Niwafundisheni kipi ambacho hamkujifunza Malindi, Kurasini, Monduli au Ngerengere?

Nyinyi mmesomea fani, kwa jasho la Taifa, wengine ni vipawa tuu, na baraka za Mola ndio maana maoni na uchambuzi wetu, huwachuna ngozi na kuwafanya vihiyo.

Kwa mlio mafisi wagombea nyama, mwaeza endelea angamiza zizi, lakini hata ujanja wenu kupangusa midomo ardhini kufuta damu, hakusaidii. Mchungaji na wenzake wapembuzi hung'amua ulafi wenu na kuuanika.

Ombi langu kwenu wote mnaonitafuta, fanyeni kazi zenu kwa viapo ili Mchungaji na Kondoo waishi kwa Amani, wakila Asali na Maziwa manono ambayo ni halali na haki yao.

Kuendelea kutupuuza, kutawafanya muendelee kujichanganya mkimtafuta ni nani Mchungaji, ni rafiki wa nani, amejuaje, ana nia gani na maswali mengine kemkem ambayo mngejijibu kama msingekuwa Wazembe na Walafi na kutuumiza siye Wakulima na Wafanyakazi wa Tanzania. Fanyeni kazi zenu kwa Bidii, Juhudi na Maarifa kwa Manufaa ya Mchungaji na Kondoo, nanhyi mtaishi kwa Amani bila wasiwasi au woga.

La mwisho, Uchungaji wangu ni wito, binafsi si wa kuombwa na mtu. Mawazo yenu wengine kuwa kama nitakuja sarandia Miliki na Himaya zenu sahauni, ishini kwa amani kwenye viti vyenu, mimi kazi ya Uchungaji naipenda, nitaendelea kuchambua mchicha na kutoa makapi kwenye nafaka mpaka tupate zao bora na nono kutushibisha.
 
Nimekuwa napokea subliminal messages kwa muda mrefu, makombora kwa muda mrefu watu wakihoji huyu Mchungaji ni nani, anajua nini, anapata wapi habari zake, lengo lake ni nini, anakaa wapi, anamipango gani ya baadaye kugombea na mengine mengi.

Basi nawarahisishia msiendelee kupasuka mishipa na kukosa usingizi, iwe ni nyie Mafisadi na Vibaraka wao, UWT, Vyama vya Siasa au wengine wachangiaji humu jukwaani.

Mimi ni Raia, Mzalendo, Mwananchi wa Tanzania. Nawasilisha nafasi ya Mtanzania aliyeko Kasulu, Mpanda, Geita, Micheweni, Mbinga, Mafia, Arusha Mjini, London, Washington, Dubai, Pretoria na sehemu nyingine nyingi.

Kama mwakilishi wa Wananchi hawa, nafanya kazi yangu kwa mapenzi ya nchi yangu, ni wajibu wangu, ni kiapo changu kulitumikia Taifa langu, kwa manufaa ya Taifa na Wananchi wake.

Mwaniogopea nini, wakati mimi ni mtu wa kawaida tuu?

Ni mwiba katika ngozi zenu, nondo inayokomaza zege la Taifa, Kungwi kwa chipukizi kama Jmushi, Swahiba kwa wazee kama Kibunango.

Makao yangu ni mtaani, kijiweni, magazetini, sehemu ambako mwananchi anakaa, mahali ambako mwananchi hulia kilio cha Uzazi, kwenye Rubisi, Chipsi Dume, Msokoto, Slipuwei, hata kwenye vikao vyenu vya Siri!

Sasa najiuliza mwanitafuta kwa shauri gani ikiwa in Raia wa Kawaida? NImefanya nini kilichozua shauku lenu kujua Mchungaji ni nani?

Upevu na Upeo wa mawazo asili na msingi wake ni Kifimbo, kisha machungu ya maisha na kuwa mkweli kwa nafsi yakafuatia. Wepesi wa kuunganisha nukta kwa kutazama kile kile tunachotazama wote, ni Baraka za Mungu, sina Dataz wala kianzio cha Dataz kama Mzee mwenzangu Kamanda Mkuu.

Je mwataka niwafundishe kazi haswa nyie wa Umoja wa Waangalizi? Niwafundisheni kipi ambacho hamkujifunza Malindi, Kurasini, Monduli au Ngerengere?

Nyinyi mmesomea fani, kwa jasho la Taifa, wengine ni vipawa tuu, na baraka za Mola ndio maana maoni na uchambuzi wetu, huwachuna ngozi na kuwafanya vihiyo.

Kwa mlio mafisi wagombea nyama, mwaeza endelea angamiza zizi, lakini hata ujanja wenu kupangusa midomo ardhini kufuta damu, hakusaidii. Mchungaji na wenzake wapembuzi hung'amua ulafi wenu na kuuanika.

Ombi langu kwenu wote mnaonitafuta, fanyeni kazi zenu kwa viapo ili Mchungaji na Kondoo waishi kwa Amani, wakila Asali na Maziwa manono ambayo ni halali na haki yao.

Kuendelea kutupuuza, kutawafanya muendelee kujichanganya mkimtafuta ni nani Mchungaji, ni rafiki wa nani, amejuaje, ana nia gani na maswali mengine kemkem ambayo mngejijibu kama msingekuwa Wazembe na Walafi na kutuumiza siye Wakulima na Wafanyakazi wa Tanzania. Fanyeni kazi zenu kwa Bidii, Juhudi na Maarifa kwa Manufaa ya Mchungaji na Kondoo, nanhyi mtaishi kwa Amani bila wasiwasi au woga.

La mwisho, Uchungaji wangu ni wito, binafsi si wa kuombwa na mtu. Mawazo yenu wengine kuwa kama nitakuja sarandia Miliki na Himaya zenu sahauni, ishini kwa amani kwenye viti vyenu, mimi kazi ya Uchungaji naipenda, nitaendelea kuchambua mchicha na kutoa makapi kwenye nafaka mpaka tupate zao bora na nono kutushibisha.

Nice Homily! You sound like a radical preacher. Who says ballot or bullet. When they gonna catch ya, there gonna put you on the MEKO

PM
 
Nimekuwa napokea subliminal messages kwa muda mrefu, makombora kwa muda mrefu watu wakihoji huyu Mchungaji ni nani, anajua nini, anapata wapi habari zake, lengo lake ni nini, anakaa wapi, anamipango gani ya baadaye kugombea na mengine mengi.

Basi nawarahisishia msiendelee kupasuka mishipa na kukosa usingizi, iwe ni nyie Mafisadi na Vibaraka wao, UWT, Vyama vya Siasa au wengine wachangiaji humu jukwaani.

Mimi ni Raia, Mzalendo, Mwananchi wa Tanzania. Nawasilisha nafasi ya Mtanzania aliyeko Kasulu, Mpanda, Geita, Micheweni, Mbinga, Mafia, Arusha Mjini, London, Washington, Dubai, Pretoria na sehemu nyingine nyingi.

Kama mwakilishi wa Wananchi hawa, nafanya kazi yangu kwa mapenzi ya nchi yangu, ni wajibu wangu, ni kiapo changu kulitumikia Taifa langu, kwa manufaa ya Taifa na Wananchi wake.

Mwaniogopea nini, wakati mimi ni mtu wa kawaida tuu?

Ni mwiba katika ngozi zenu, nondo inayokomaza zege la Taifa, Kungwi kwa chipukizi kama Jmushi, Swahiba kwa wazee kama Kibunango.

Makao yangu ni mtaani, kijiweni, magazetini, sehemu ambako mwananchi anakaa, mahali ambako mwananchi hulia kilio cha Uzazi, kwenye Rubisi, Chipsi Dume, Msokoto, Slipuwei, hata kwenye vikao vyenu vya Siri!

Sasa najiuliza mwanitafuta kwa shauri gani ikiwa in Raia wa Kawaida? NImefanya nini kilichozua shauku lenu kujua Mchungaji ni nani?

Upevu na Upeo wa mawazo asili na msingi wake ni Kifimbo, kisha machungu ya maisha na kuwa mkweli kwa nafsi yakafuatia. Wepesi wa kuunganisha nukta kwa kutazama kile kile tunachotazama wote, ni Baraka za Mungu, sina Dataz wala kianzio cha Dataz kama Mzee mwenzangu Kamanda Mkuu.

Je mwataka niwafundishe kazi haswa nyie wa Umoja wa Waangalizi? Niwafundisheni kipi ambacho hamkujifunza Malindi, Kurasini, Monduli au Ngerengere?

Nyinyi mmesomea fani, kwa jasho la Taifa, wengine ni vipawa tuu, na baraka za Mola ndio maana maoni na uchambuzi wetu, huwachuna ngozi na kuwafanya vihiyo.

Kwa mlio mafisi wagombea nyama, mwaeza endelea angamiza zizi, lakini hata ujanja wenu kupangusa midomo ardhini kufuta damu, hakusaidii. Mchungaji na wenzake wapembuzi hung'amua ulafi wenu na kuuanika.

Ombi langu kwenu wote mnaonitafuta, fanyeni kazi zenu kwa viapo ili Mchungaji na Kondoo waishi kwa Amani, wakila Asali na Maziwa manono ambayo ni halali na haki yao.

Kuendelea kutupuuza, kutawafanya muendelee kujichanganya mkimtafuta ni nani Mchungaji, ni rafiki wa nani, amejuaje, ana nia gani na maswali mengine kemkem ambayo mngejijibu kama msingekuwa Wazembe na Walafi na kutuumiza siye Wakulima na Wafanyakazi wa Tanzania. Fanyeni kazi zenu kwa Bidii, Juhudi na Maarifa kwa Manufaa ya Mchungaji na Kondoo, nanhyi mtaishi kwa Amani bila wasiwasi au woga.

La mwisho, Uchungaji wangu ni wito, binafsi si wa kuombwa na mtu. Mawazo yenu wengine kuwa kama nitakuja sarandia Miliki na Himaya zenu sahauni, ishini kwa amani kwenye viti vyenu, mimi kazi ya Uchungaji naipenda, nitaendelea kuchambua mchicha na kutoa makapi kwenye nafaka mpaka tupate zao bora na nono kutushibisha.


Ameeen! tell them. Pia itabidi wale wenye dini siku moja JF ifunge na kuwaombea Mafisadi kwa heri na shari
 
Keep it up Rev. Together we stand.
May The Almighty God turn these Evils into honest and kind human being!
Ameen!
 
Nimekuwa napokea subliminal messages kwa muda mrefu, makombora kwa muda mrefu watu wakihoji huyu Mchungaji ni nani, anajua nini, anapata wapi habari zake, lengo lake ni nini, anakaa wapi, anamipango gani ya baadaye kugombea na mengine mengi.

Basi nawarahisishia msiendelee kupasuka mishipa na kukosa usingizi, iwe ni nyie Mafisadi na Vibaraka wao, UWT, Vyama vya Siasa au wengine wachangiaji humu jukwaani.

Mimi ni Raia, Mzalendo, Mwananchi wa Tanzania. Nawasilisha nafasi ya Mtanzania aliyeko Kasulu, Mpanda, Geita, Micheweni, Mbinga, Mafia, Arusha Mjini, London, Washington, Dubai, Pretoria na sehemu nyingine nyingi.

Kama mwakilishi wa Wananchi hawa, nafanya kazi yangu kwa mapenzi ya nchi yangu, ni wajibu wangu, ni kiapo changu kulitumikia Taifa langu, kwa manufaa ya Taifa na Wananchi wake.

Mwaniogopea nini, wakati mimi ni mtu wa kawaida tuu?

Ni mwiba katika ngozi zenu, nondo inayokomaza zege la Taifa, Kungwi kwa chipukizi kama Jmushi, Swahiba kwa wazee kama Kibunango.

Makao yangu ni mtaani, kijiweni, magazetini, sehemu ambako mwananchi anakaa, mahali ambako mwananchi hulia kilio cha Uzazi, kwenye Rubisi, Chipsi Dume, Msokoto, Slipuwei, hata kwenye vikao vyenu vya Siri!

Sasa najiuliza mwanitafuta kwa shauri gani ikiwa in Raia wa Kawaida? NImefanya nini kilichozua shauku lenu kujua Mchungaji ni nani?

Upevu na Upeo wa mawazo asili na msingi wake ni Kifimbo, kisha machungu ya maisha na kuwa mkweli kwa nafsi yakafuatia. Wepesi wa kuunganisha nukta kwa kutazama kile kile tunachotazama wote, ni Baraka za Mungu, sina Dataz wala kianzio cha Dataz kama Mzee mwenzangu Kamanda Mkuu.

Je mwataka niwafundishe kazi haswa nyie wa Umoja wa Waangalizi? Niwafundisheni kipi ambacho hamkujifunza Malindi, Kurasini, Monduli au Ngerengere?

Nyinyi mmesomea fani, kwa jasho la Taifa, wengine ni vipawa tuu, na baraka za Mola ndio maana maoni na uchambuzi wetu, huwachuna ngozi na kuwafanya vihiyo.

Kwa mlio mafisi wagombea nyama, mwaeza endelea angamiza zizi, lakini hata ujanja wenu kupangusa midomo ardhini kufuta damu, hakusaidii. Mchungaji na wenzake wapembuzi hung'amua ulafi wenu na kuuanika.

Ombi langu kwenu wote mnaonitafuta, fanyeni kazi zenu kwa viapo ili Mchungaji na Kondoo waishi kwa Amani, wakila Asali na Maziwa manono ambayo ni halali na haki yao.

Kuendelea kutupuuza, kutawafanya muendelee kujichanganya mkimtafuta ni nani Mchungaji, ni rafiki wa nani, amejuaje, ana nia gani na maswali mengine kemkem ambayo mngejijibu kama msingekuwa Wazembe na Walafi na kutuumiza siye Wakulima na Wafanyakazi wa Tanzania. Fanyeni kazi zenu kwa Bidii, Juhudi na Maarifa kwa Manufaa ya Mchungaji na Kondoo, nanhyi mtaishi kwa Amani bila wasiwasi au woga.

La mwisho, Uchungaji wangu ni wito, binafsi si wa kuombwa na mtu. Mawazo yenu wengine kuwa kama nitakuja sarandia Miliki na Himaya zenu sahauni, ishini kwa amani kwenye viti vyenu, mimi kazi ya Uchungaji naipenda, nitaendelea kuchambua mchicha na kutoa makapi kwenye nafaka mpaka tupate zao bora na nono kutushibisha.

Umesahau kusema amani iwe nao.

Give them hell Rev, they thought they would continue having a peaceful ride. Kama viti vinawachoma wanaweza ku surrender tu fisadist.
 
Mchungaji.
Wewe ni safi maana unawa preach inavyotakiwa hawa mafisadi. Si tumewaomba ninyi wachungaji kutusaidia vita hii? Hata hivyo wanahitaji nini zaidi hawa wakati wanajua wewe ni mchungaji?
 
Hakuna mwanadamu aliye kamili wala asiye na dosari, uzuri ni kuwa Mungu katupa uwezo kjisahihisha na kuachana na upotovu.

Kama niliweza kushindana na majaribu na kuungama na kuzaliwa upya, ni ugumu gani unawashinda Wnaonitafuta?

Mwanitafutia nini? kama mngekuwa mnafanya kazi zenu kwa umakini, msingehangaika kutafuta sauti ya nyikani, msingekuwa mnaaibishana kila siku na hata kuanza kupigiana ramli.

Kushindwa kwenu kuwajibika kunaamsha sauti na vilio vya Mchungaji na Kondoo zizini.

Laiti mngelikuwa japo wenye utu na kukiri mlipokosea na kujaribu kujisahihisha, mngepata mafanikio!

Neema ya matumbo yenu kamwe haita kuwa na amani ikiwa mtashiba kwa ulafi na unyang'anyi. nanyi mtaangamia mpaka vizazi vyenu, na kuishia kutembea na aibu kuu ya milele. Tazama mnavyohangaika na kutumia mlungula kujisafisha, je mlikuwa wapi wakati masizi na matope yanagangamaa na kukaukia mikononi mwenu?

Jirudini, warudieni wananchi na hizo ambition za kutawala, kutajirika na kudhulumu mkazitubu iwe Kanisani, Msikitini au kwenye Jabali.

Mnapoteza muda kunitafuta na kutaka kujua mimi ni nani. nendeni katika majimbo na mitaani, mtagundua kila sura mnayoiona ni ya Mchungaji na Kondoo.

Jisuteni!
 
Hakuna mwanadamu aliye kamili wala asiye na dosari, uzuri ni kuwa Mungu katupa uwezo kjisahihisha na kuachana na upotovu.

Kama niliweza kushindana na majaribu na kuungama na kuzaliwa upya, ni ugumu gani unawashinda Wnaonitafuta?

Mwanitafutia nini? kama mngekuwa mnafanya kazi zenu kwa umakini, msingehangaika kutafuta sauti ya nyikani, msingekuwa mnaaibishana kila siku na hata kuanza kupigiana ramli.

Kushindwa kwenu kuwajibika kunaamsha sauti na vilio vya Mchungaji na Kondoo zizini.

Laiti mngelikuwa japo wenye utu na kukiri mlipokosea na kujaribu kujisahihisha, mngepata mafanikio!

Neema ya matumbo yenu kamwe haita kuwa na amani ikiwa mtashiba kwa ulafi na unyang'anyi. nanyi mtaangamia mpaka vizazi vyenu, na kuishia kutembea na aibu kuu ya milele. Tazama mnavyohangaika na kutumia mlungula kujisafisha, je mlikuwa wapi wakati masizi na matope yanagangamaa na kukaukia mikononi mwenu?

Jirudini, warudieni wananchi na hizo ambition za kutawala, kutajirika na kudhulumu mkazitubu iwe Kanisani, Msikitini au kwenye Jabali.

Mnapoteza muda kunitafuta na kutaka kujua mimi ni nani. nendeni katika majimbo na mitaani, mtagundua kila sura mnayoiona ni ya Mchungaji na Kondoo.

Jisuteni!

Hebu punguza woga! Wakikutaka, wanakupata. Acha kusema maneno ya huruma wakuonee huruma. You have made the bed.........kutishwa kidogo, hofu kibao. Kumbuka sauti ya Yohana Mbatizaji kule nyikani, alisema bila woga wala ajizi. Lakini hatima yake ilikuwa ni kukatwa kichwa na yule binti kupewa kwenye sinia kama zawadi. Are you thinking you will have a similar fate by hating them?

PM
 
That very inspiring. Naomba kukushauri, Post that in one of those Tanzania news Paper coz wengine hawasomi huku JF na wengine hata internet hawaijui lakini magazeti hupewa hata na "vimada" zao.

Nice work
 
Kwa mwoga hakujaenda kilio. Sina hofu au woga kwa nafsi yangu. Nina woga na mashaka kwa Taifa langu.

Woga huu ni kule kutishana kila siku na kunyima haki kwa kutumia dola, huku tukiburuzwa na kudanganywa kila siku.

Je ni line mnyonge atasema "damn it" nimechoka? je hamuoni siku hiyo mitaa itatiririka vimiminika vyekundu vilivyo na harufu kali ya damu?

Wanaomtafuta mchungaji llao si kurekebisha, bali ni kunyamazisha sauti. ikiwa wameweza kunyamazisha Sauti za wananchi kila baada ya siku 1825 na kupata nguvu mpya ya kutudhihaki na kutuhujumu kwa siku nyingine 1824, basi iko siku kibao kitageuka.

Je watakuwa tayari au watakuwa wagumu, wabishi na wajeuri kama Gabrieli wa Mugabe?
 
Mchungaji kwa mkwala tu!

Mi nikafikiri ametoa address na picha kabisa basi nikaja mbio mbio :) .

Kumbe preaching kama kawaida.

Preaach brother preaaaaach (make it plain)
 
Mchungaji kwa mkwala tu!

Mi nikafikiri ametoa address na picha kabisa basi nikaja mbio mbio :) .

Kumbe preaching kama kawaida.

Preaach brother preaaaaach (make it plain)

Tuwekee hii sermon kwa kile kiingereza chako kigumu basi.....
 
Nyani Ngabu,
Ahhh mkuu Pundit anaandika KIDHUNGU!... sii mchezo mdogo ananimaliza sana huwa ananikumbusha swahiba wangu Othman Matata.
Mimi binafsi naanza kuwita Sir Pundit!
 
It is about time Preacher! Hivi hilo kanisa lako linaitwaje vile maana naona liko tayari kupokea waumini wengi wa dini ya Uzalendo! Amen brother!

Kama nikiruhusiwa kutoa ushauri, ningependekeza kanisa liitwe "Kishoka Church of What's Happening"! Hii inatokana na ukweli mchungaji anataka kujua what's happening with mtanzania wa kawaida; what's happening with kiongozi aliyepewa dhamana ya umma; what's happening to our culture, pride, wealth, etc
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom