Utajijua utajiri bila kushirikisha mambo ya kiroho hutoki piga ua hata uwe wa dini yeyote na mchapakazi kupindukia hutokiUtajiri hauji kwa kwa kukanyaga mafuta, acheni kudanganya watu, waambieni wakajishughulishe na wafanye kazi kwa bidii
Kuna kaukweli mkuu...Hili jambo lingetokea kwenye mhadhara wa kiislam,maustadh wangepewa kesi ya ugaidi kabisa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo unapoteza muda wako kwa manabii,Utajijua utajiri bila kushirikisha mambo ya kiroho hutoki piga ua hata uwe wa dini yeyote na mchapakazi kupindukia hutoki
Hili jambo lingetokea kwenye mhadhara wa kiislam,maustadh wangepewa kesi ya ugaidi kabisa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kesho us Akwilina, watuhumiwa wamewekwa ndaniJeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro limewaachia kwa dhamana watu wanane akiwemo Mtume na Nabii, Boniface Mwamposa wanaotuhumiwa kuendesha kongamano lililosababisha vifo vya watu 20 mjini Moshi. Msemaji wa Polisi, David Misime amethibitisha
Chanzo: MwananchiUpdates
Sio suala la kumtafuta Mungu bali miujiza tu na ndiyo hata watu wa imani zengine huwa wanakuwepo na si ajabu walikuwepo,Mwamposa ni maarufu kwa sababu ya hiyo miujiza na si kwamba labda ana mahubiri mazuri wala nini.Ila heri wamepoteza maisha kwenye maisha ya kumtafuta Mungu kuliko kufa kwenye disko au kwenye kudanga.
Sent using Jamii Forums mobile app
in love in life in war nothing is fairJeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro limewaachia kwa dhamana watu wanane akiwemo Mtume na Nabii, Boniface Mwamposa wanaotuhumiwa kuendesha kongamano lililosababisha vifo vya watu 20 mjini Moshi. Msemaji wa Polisi, David Misime amethibitisha
Chanzo: MwananchiUpdates
Ila ni kweli mkuu laiti angekuwa Sheikh hapo basi polisi wasingeona tabu kumuweka ndani tu hadi leo hata kama hakuna kosa na ingeonekana kawaida tu.Hii Ni ramli
vitu vya kufikirika hewa hivyoIla ni kweli mkuu laiti angekuwa Sheikh hapo basi polisi wasingeona tabu kumuweka ndani tu hadi leo hata kama hakuna kosa na ingeonekana kawaida tu.
Ni kweli watu wanaifuata miujiza na wanaipata.Hata YESU WATU KIBAO WALIMFUATA KUFUATA MIUJIZA NA WALIIPATASio suala la kumtafuta Mungu bali miujiza tu na ndiyo hata watu wa imani zengine huwa wanakuwepo na si ajabu walikuwepo,Mwamposa ni maarufu kwa sababu ya hiyo miujiza na si kwamba labda ana mahubiri mazuri wala nini.
Kwa mfano polisi wangekuwepo wangefanyaje?huoni kuwa pengine tatizo lingezidi zaidi?Tatizo Polisi wameona nao wanakosa la kutokuweka ulinzi wa kutosha sasa wameanza kufichana ...Hakuna kesi hapo so longer polisi nao wanahusika
Usiseme watu wamekufa kwa uzembe bali sema kuna watu walifanya uzembe,kumbuka katika hao waliyokufa miongoni mwao ni watoto hivyo huwezi kujua kama walijikuta wamezongwa na watu na kukanyagwa na kupelekea umauti.Kwa hili sioni mantiki ya kuendelea kumshikilia mwamposa wakati watu wamekufa kwa ujinga wao
Nadhani serikali ilimuifafhi tu kwa usalama wake na baada ya kujiridhisha uhakika wa usalama wake ndipo wakaamua kumuachia
It's Scars
Kumtafuta Mungu na kutafuta miujiza ni vitu viwili tofauti.Heri yao waliokufa wakati wanamtafuta Mungu. Hata kama watadhihakiwa. Swali, wewe kifo kitakukuta wakati unafanya nini?
Umethibitisha alichokisema jamaa.
Haki huwa anatenda Mungu tu mkuu.Tunashukuru Raisi ,polisi na RC kutenda haki.Mungu awabariki sana
Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro limewaachia kwa dhamana watu wanane akiwemo Mtume na Nabii, Boniface Mwamposa wanaotuhumiwa kuendesha kongamano lililosababisha vifo vya watu 20 mjini Moshi. Msemaji wa Polisi, David Misime amethibitisha
Chanzo: MwananchiUpdates