nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,896
Habari wana JF,
Tukianza kuangalia kiuhuduma, kiumri, kiujuzi wa neno la Mungu tutakubali Mwakasege ni baba wa Imani kwa Tanzania hii.
Kinachonileta hapa,
1. Inakuaje hawezi kumwachia hata siku moja Mwalimu Mwakasege pindi anapokuwa na semina yake mfano tar 12/10 Mwakasege ana semina ya neno la Mungu kawe na yeye mwamposa ameamua kuweka kongamano lake la maji na mafuta. Huu siyo uugwana na ustraabu kwa mtumishi wa Mungu, kama Pastor Tony Kapola aliweza kumpisha Mtumishi wa Mungu kwanini yeye asiweze kufanya hivi.
Mkutano wa mwisho alioufanya Mwakasege, Mtume Mwamposa aliweka sauti ya juu sana Ilibidi kamati ya Mwalimu Mwakasege wamuombe Mwalimu wakamuombe apunguze sauti ila Mwakasege alikataa na akasema acha mkutano uendelee.View attachment 2382980View attachment 2382983View attachment 2382982View attachment 2382981
Tukianza kuangalia kiuhuduma, kiumri, kiujuzi wa neno la Mungu tutakubali Mwakasege ni baba wa Imani kwa Tanzania hii.
Kinachonileta hapa,
1. Inakuaje hawezi kumwachia hata siku moja Mwalimu Mwakasege pindi anapokuwa na semina yake mfano tar 12/10 Mwakasege ana semina ya neno la Mungu kawe na yeye mwamposa ameamua kuweka kongamano lake la maji na mafuta. Huu siyo uugwana na ustraabu kwa mtumishi wa Mungu, kama Pastor Tony Kapola aliweza kumpisha Mtumishi wa Mungu kwanini yeye asiweze kufanya hivi.
Mkutano wa mwisho alioufanya Mwakasege, Mtume Mwamposa aliweka sauti ya juu sana Ilibidi kamati ya Mwalimu Mwakasege wamuombe Mwalimu wakamuombe apunguze sauti ila Mwakasege alikataa na akasema acha mkutano uendelee.View attachment 2382980View attachment 2382983View attachment 2382982View attachment 2382981