Rugas
JF-Expert Member
- Jan 8, 2009
- 1,048
- 196
Tatizo siyo kumsikiliza Mwampamba tatizo kwa nini Dr Slaa akope pesa za ruzuku katibu ya Chadema inasemaje.
Bora hutu anachukua na kurudisha,hata km katiba hairuhusu.huko kwingine wanachukua jumla jumla, a k a kufisadi!