Shaka A. Shaka tangu amepewa nafasi hiyo amekuwa bize kujibu kila mashambulizi yanayoelekezwa ama kwa rais SSH moja kwa moja au kwa serikali yake.
Jana baada ya BBC swahili kurusha maoni ya J. J . Mnyika kuhusu kauli ya rais SSH wakati akihojiwa na chombo hicho hicho mara tukaona Shaka A. Shaka akijibu mashambulizi.
Siku chache zilozopita tuliona Shaka akimuonya askofu Gwajima baada ya kutoa msimamo wake kuwa chanjo ya korona haifai.
Kwa kufanya hivi, wajuvi na wachambuzi wa Mambo wanasema Shaka A. Shaka anaibagaza na kupwaya ktk kazi yake.
Ikumbukwe kuwa kazi ya kuisemea serikali iko mikononi mwa Msigwa.
Shaka A. Shaka aache mihemko, atulize boli maana kiwanja ni kidogo.
Jana baada ya BBC swahili kurusha maoni ya J. J . Mnyika kuhusu kauli ya rais SSH wakati akihojiwa na chombo hicho hicho mara tukaona Shaka A. Shaka akijibu mashambulizi.
Siku chache zilozopita tuliona Shaka akimuonya askofu Gwajima baada ya kutoa msimamo wake kuwa chanjo ya korona haifai.
Kwa kufanya hivi, wajuvi na wachambuzi wa Mambo wanasema Shaka A. Shaka anaibagaza na kupwaya ktk kazi yake.
Ikumbukwe kuwa kazi ya kuisemea serikali iko mikononi mwa Msigwa.
Shaka A. Shaka aache mihemko, atulize boli maana kiwanja ni kidogo.