Inatuchukua miaka mingi ya kujitolea na kumwomba Mungu hadi kufanikiwa kujenga nyumba za ibada. Kama Magufuli hajashiriki kujenga nyumba za ibada, hajui gharama kubwa inayotupata kujenga nyumba hizi. Atuachie nyumba zetu hizi asitubomolee. Hakika laana kubwa haitamwacha kwa unyama huu na kiburi anacho mwonyesha Mungu.