Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 12,417
- 19,441
Kwamba kusema wanakosa huduma ya umeme wa uhakika ni kulalamika ? Kwamba hilo ni jambo la kawaida ?Wewe nae umezidi, kila dakika unalialia tu utakufa na magonjwa yasiyoambukiza!
Kwani kazi ya hao Tanesco ni ipi zaidi ya kuhakikisha umeme upo muda wote. Hapo sijagusa gharama (bado tunawapa muda Bwawa likamilike)