Mwambieni January Makamba kwamba umeme umeanza kukatika ovyo Dar es Salaam

Wewe nae umezidi, kila dakika unalialia tu utakufa na magonjwa yasiyoambukiza!
Kwamba kusema wanakosa huduma ya umeme wa uhakika ni kulalamika ? Kwamba hilo ni jambo la kawaida ?

Kwani kazi ya hao Tanesco ni ipi zaidi ya kuhakikisha umeme upo muda wote. Hapo sijagusa gharama (bado tunawapa muda Bwawa likamilike)
 
Kwamba kusema wanakosa huduma ya umeme wa uhakika ni kulalamika ? Kwamba hilo ni jambo la kawaida ?

Kwani kazi ya hao Tanesco ni ipi zaidi ya kuhakikisha umeme upo muda wote. Hapo sijagusa gharama (bado tunawapa muda Bwawa likamilike)
Hilo jamaa ni li shoga


Mwanaume anakuja kumlalamikia mwanaume mwenzie anaeleta kero
 
Mh. Waziri Makamba nakumbuka hotuba yako ya kwanza ulipoteuliwa, ulijitanabaisha kwa kusema unataka ndni ya wiki mbili mbili upewe sababu za kukatika mara kwa mara umeme. Nilipata matumaini makubwa kutokana na kauli yako. Lakini kama watoto wa mjini wanavyowatania wanasiasa kutokana na kauli yao kwamba kukatika kwa umeme utakuwa historia na kuwajibu kwamba sasa ni physics au basic mathematics maana ni kilio cha wanafunzi wengi wa kitanzania huko mashuleni. Mpaka muda umeme umekuwa changamoto baadhi ya maeneo hususani huku moshi. Napenda nikuulize mpaka hujajua sababu ya tatizo hili? Mungu ibariki Tanzania
 
Huku Dar umeme umeanza kukatika hovyo hovyo tena sahivi unakatika muda mrefu sana hadi masaa 8. Juzi nilikua sehemu fulani nje ya mji umeme ulikatika kuanzia saa 1 asubuhi hadi saa 1 usiku ndo walirudisha. Dalili za kuonyesha hali sio shwari ni pale umeme ukirudi watu wanashangillia hii sio ishara njema kabisa.

Umeme unakatika sana sahivi yaani tumerudi mwaka 2015 huko hii nchi ni ngumu sana. Mwambieni JM kwamba Tanesco inahitaji kuongozwa kwa akili na nguvu pia. TANESCO inahitaji mtu mwenye akili nyingi pia inahitaji kutumiwa nguvu tu hili shirika limeoza bila mijeledi haliendi.

Umeme unakatika sana sahivi, kwa kipindi fulani tulikua tushasahau umeme kukatika ukiona hauwaki ujue labda umeisha kwa luku yako lakini sasa hivi tumerudi kulekule

Hali ya kukatika kwa umeme DSM ni mbaya sana.
Hata mkoa wa Ruvuma umeanza kukatika hovyo hovyo tu. Yaani tutashuhudia majanga mengi sana yaani. Mungu atusaidie. Kwa kweli this time tutashuhudia mengi. Ubadhirifu mkubwa utafanyika kwa nguvu sana
 
Back
Top Bottom