Mwambieni Haji Manara asijivishe U-mungu

Huyo anategemea kupiga domo ndio aende chooni wewe jiulize ktk klabu ya yanga kuna afisa habari wa timu ambaye jukumu lake ni kufanya press conference zinazohusu chama ambae ni hassan bumbuli lakini nafasi yake imebakwa na haji manara ndo kawa msemaji wa timu sasa jiulize majukumu ya msemaji wa timu ni yapi na ya afisa habari ni yapi
 
Saizi yake mwijaku, katekenywa kidogo tu na mwijaku kaanza kulia lia,, ili kumkomesha simba inabidi wamuongeze dida achambane nae,, jamaa mbulula kweli huyu,, yani matokeo yoyote mabaya yanayoikuta simba kwa akili yake anajua sababu ni yeye wakati huo ndio mpira, kafungwa man u 5 leo mpira ulivyo na matokeo katili
Mwijaku atimize ahadi yake kwanza akisaidiwa na nyinyi mashabiki mbumbumbu then ndio aje kujibizana na Manara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba ilipigwa tano na al ahly na yeye mwenyewe ndo alikua wakwanza kufurahia na kusema hamsa

Huyo alikua snitch tangu muda, simba imepoteza mashindano kikanuni lakini sio kwa kufungwa kama wao

Kilichotokea hapa kinaweza kutokea kwa club yeyote kubwa, ilikua barcelona kwa liverpool sembuse simba?
 
Alipokuwa simba mlimpamba sana, sasa hivi ndio mnamuona roporopo
Hili bomu mlililea wenyewe acha awalipukie
Alipokua simba mlimponda sana, tena nyinyi mlifika stage mnam edit kavaa shela anaolewa na morrison, now yuko kwenu zimebaki record tu
 
Kwa mujibu wa Haji Simba itafungwa mechi zote kwasababu yeye Haji kafukuzwa Simba.

Yaani sijaona timu ambayo haijawahi kufungwa na kwamba Simba ikifungwa basi nikwasababu ya kumtimua msemaji wa timu.

Hii ndio sababu Kwa mujibu wa Haji, unajiuliza kwanini yeye mtaalamu wa kushinda hakusababisha Yanga ishinde dhidi ya Rivers?

Kaka yetu anahasira Sana za kuachwa na Simba.
Simba inafungwa kwa kuzidiwa mbinu au uzembe wa wachezaji na sio kwamba taarabu za manara zina changia timu kutofanya vizuri

Analalamika kufukuzwa simba kua haikua fair at the same time kwenye press na waamdishi wa habari ana jigamba kua hajawahi kuipenda simba alikua anafanya vile kwa ku act, mtu kama huyu tumueleweje?
 

Tulieni awalipukie vizuri.
Sawa ila mimi nahakika hapo yanga hapatakua kama wengi mnavyopaona

Ujio wa manara umetengeneza matabaka, na ni mbaya zaidi kufanya kazi na kundi hilo ambalo haliwezi kukubali manara awe mhimili tegemezi pale yanga

Hii comment itunze kwenye notepad utaitumia kama reference siku zijazo, ila tambua kua manara pale yanga anakubalika na gsm tu kwasababu ya kimaslahi nje ya club.
 
Kuna watu bado mnamfuatilia huyo msukule?

24C98C5B-60B5-4579-8264-E45791F55539.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom