Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,044
- 158,740
Hivi inajibiwaje vileMakolo muli bwanji babaa
Hivi inajibiwaje vileMakolo muli bwanji babaa
Msemaji anyamaze? Hebu kua serious!huyu jamaa hawezi kunyamaza kabisa mambo mengine ni kula kinya tu tatizo mdomo
Mwijaku atimize ahadi yake kwanza akisaidiwa na nyinyi mashabiki mbumbumbu then ndio aje kujibizana na Manara.Saizi yake mwijaku, katekenywa kidogo tu na mwijaku kaanza kulia lia,, ili kumkomesha simba inabidi wamuongeze dida achambane nae,, jamaa mbulula kweli huyu,, yani matokeo yoyote mabaya yanayoikuta simba kwa akili yake anajua sababu ni yeye wakati huo ndio mpira, kafungwa man u 5 leo mpira ulivyo na matokeo katili
Hua tunaitikia hivi Makolo ndili muche babaa
Alipokua simba mlimponda sana, tena nyinyi mlifika stage mnam edit kavaa shela anaolewa na morrison, now yuko kwenu zimebaki record tuAlipokuwa simba mlimpamba sana, sasa hivi ndio mnamuona roporopo
Hili bomu mlililea wenyewe acha awalipukie
Alipokua simba mlimponda sana, tena nyinyi mlifika stage mnam edit kavaa shela anaolewa na morrison, now yuko kwenu zimebaki record tu
Simba inafungwa kwa kuzidiwa mbinu au uzembe wa wachezaji na sio kwamba taarabu za manara zina changia timu kutofanya vizuriKwa mujibu wa Haji Simba itafungwa mechi zote kwasababu yeye Haji kafukuzwa Simba.
Yaani sijaona timu ambayo haijawahi kufungwa na kwamba Simba ikifungwa basi nikwasababu ya kumtimua msemaji wa timu.
Hii ndio sababu Kwa mujibu wa Haji, unajiuliza kwanini yeye mtaalamu wa kushinda hakusababisha Yanga ishinde dhidi ya Rivers?
Kaka yetu anahasira Sana za kuachwa na Simba.
Sawa ila mimi nahakika hapo yanga hapatakua kama wengi mnavyopaona
Tulieni awalipukie vizuri.
Karma haitawaacha salama Simba..ndegelecWatanzania wengi wanaamini huo upuuzi wake wa Karma na takataka nyingine za aina hiyo.
Hili si suala la Manara peke yake
Makolo a.k.a Mabata fc tuli Muche BabaaHivi inajibiwaje vile
Ajira yake ni mdomo, akinyamaza atakula nini buroo?huyu jamaa hawezi kunyamaza kabisa mambo mengine ni kula kinya tu tatizo mdomo
Utapuuza ukweli?Nadhani muda sahihi ya kumpuuza sasa